NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,288
- 12,789
"Suala la mpira wapewe watu wa mpira na suala la uchawa wapewe watu wa uchawa."
Wizara ya Sanaa na michezo ijitafakari sana katika hili.
Hili Taifa Lina watu (Legends) waliofanya makubwa katika taifa hili Tena kwa kuichezea Timu Yao ya Taifa na walikua na mvuto mkubwa sana uwanjani lakini taifa Leo hii haliwatambui kabisa.
TFF imelala tu na kufunika majina ya malegend waliofanya makubwa Tena wapo hai na nguvu wanazo Wanaweza KUPEWA ubalozi wa Hamasa na wakahamasisha vizuri tu.
Mwijaku na Baba levo Hawa wanjua Nini kuhusu??
Na kwa Nini wapewe wao kigezo gani kimeangaliwa??
Kwa nini wachezaji Pendwa Kama wakina Mrisho Ngasa, Juma kaseja Amri kiemba n.k wasiingizwe /KUPEWA hiyo kazi ya Kuhamasisha Mashabiki kuipenda timu ya Taifa kuelekea kwenye michuano ya AFCON??
Mambo ya kimpira mpira tuweke watu wa mpira hii itapendeza sana kuliko kuleta watu/machawa ni sawa na kushusha hadhi ya mpira wetu.
Kuelekea Dabi ya kariakoo huwa naona Malegend waliocheza Simba sc na Yanga Sc huwa wanahojiwa na kusimulia yaliyopita kipindi wapo uwanjani, Sunday Manara na wengine huwa wanahojiwa.
Maoni Yangu: Mambo ya mpira yaende kimpira na Mambo ya kichawa yaende kichawa chawa,
Legends wahusishwe wenye hamasa ya Timu ya Taifa siyo kuwatafuta kipindi Cha Kariakoo Dabi tu na kwenye Mambo mengine mnawapa Baba levo na Mwijaku.
Nawasilisha hoja.
Wizara ya Sanaa na michezo ijitafakari sana katika hili.
Hili Taifa Lina watu (Legends) waliofanya makubwa katika taifa hili Tena kwa kuichezea Timu Yao ya Taifa na walikua na mvuto mkubwa sana uwanjani lakini taifa Leo hii haliwatambui kabisa.
TFF imelala tu na kufunika majina ya malegend waliofanya makubwa Tena wapo hai na nguvu wanazo Wanaweza KUPEWA ubalozi wa Hamasa na wakahamasisha vizuri tu.
Mwijaku na Baba levo Hawa wanjua Nini kuhusu??
Na kwa Nini wapewe wao kigezo gani kimeangaliwa??
Kwa nini wachezaji Pendwa Kama wakina Mrisho Ngasa, Juma kaseja Amri kiemba n.k wasiingizwe /KUPEWA hiyo kazi ya Kuhamasisha Mashabiki kuipenda timu ya Taifa kuelekea kwenye michuano ya AFCON??
Mambo ya kimpira mpira tuweke watu wa mpira hii itapendeza sana kuliko kuleta watu/machawa ni sawa na kushusha hadhi ya mpira wetu.
Kuelekea Dabi ya kariakoo huwa naona Malegend waliocheza Simba sc na Yanga Sc huwa wanahojiwa na kusimulia yaliyopita kipindi wapo uwanjani, Sunday Manara na wengine huwa wanahojiwa.
Maoni Yangu: Mambo ya mpira yaende kimpira na Mambo ya kichawa yaende kichawa chawa,
Legends wahusishwe wenye hamasa ya Timu ya Taifa siyo kuwatafuta kipindi Cha Kariakoo Dabi tu na kwenye Mambo mengine mnawapa Baba levo na Mwijaku.
Nawasilisha hoja.