In the Dutch Eredivisie, PSV Eindhoven have beaten Feyenoord 10-0

duh,hii kali,ingekuwa england kila mtu angejua,na hii feyenoord ni timu kubwa ina historia kubwa ktk soka kuliko hata chelsea na arsenal,walikuwa mabingwa wa uefa champions ligi 1969-1970
LiveScore.com
na ndio kipigo kikubwa ktk historia yao ya soka kufungwa toka ianzishwe,kocha wa taifa wa uholanzi ktk world cup 2010 ndie aliwabebesha uefa europa cup inaitwa siku hizi mwaka 2002
nadhani Craig Bellamy kaumia sana maana ndio timu anayoisapoti
 
duh,hii kali,ingekuwa england kila mtu angejua,na hii feyenoord ni timu kubwa ina historia kubwa ktk soka kuliko hata chelsea na arsenal,walikuwa mabingwa wa uefa champions ligi 1969-1970
LiveScore.com
na ndio kipigo kikubwa ktk historia yao ya soka kufungwa toka ianzishwe,kocha wa taifa wa uholanzi ktk world cup 2010 ndie aliwabebesha uefa europa cup inaitwa siku hizi mwaka 2002
nadhani Craig Bellamy kaumia sana maana ndio timu anayoisapoti

Niliangalia hiyo mechi jana, PSV were too strong for these guys, hasa Affelay, Lens na Reis. Cha kuchangaza baada ya mechi website ya Feyernood ilipotea wakaweka tangazo kuwa wapo kwenye maintenance. Baada ya masaa kadhaa ikapotea kabisa na kuwa replaced na error message!
Ila kwa klabu kubwa kama Feyernood, this is a disgrace! hata mdau Van Persie alitoka huku kabla hajatua Arsenal, sijui anajisikiaje sasa
 
Niliangalia hiyo mechi jana, PSV were too strong for these guys, hasa Affelay, Lens na Reis. Cha kuchangaza baada ya mechi website ya Feyernood ilipotea wakaweka tangazo kuwa wapo kwenye maintenance. Baada ya masaa kadhaa ikapotea kabisa na kuwa replaced na error message!
Ila kwa klabu kubwa kama Feyernood, this is a disgrace! hata mdau Van Persie alitoka huku kabla hajatua Arsenal, sijui anajisikiaje sasa

Umenichekesha sana eti hata website yao walikata matangazo:smile-big: na Dirk kuyt nae katoka huko kabla kutua bwawa la maini liverpool
 
Soka ndivyo ilivyo,one mistake,one goal, ten mistakes.......! Uzuri wamekubali matokeo na wametangaza kutomtimua kocha.
 
Soka ndivyo ilivyo,one mistake,one goal, ten mistakes.......! Uzuri wamekubali matokeo na wametangaza kutomtimua kocha.
kweli kabisa,sipati picha ingekuwa ndio chelsea na mahela yao,kuanzia Abramovich na mashabiki wao mamluki ungesikia oh kocha hatumtaki hatufai na anatimuliwa,ila kwa wenye kujua soka wanajua kushinda,sare na kushindwa ni matokeo 1wapo ktk mchezo,na hata ktk msimamo wapo chini,sasa kwa washabiki ambao mimi nawaita mashabiki maandazi ambao wao wanajua timu mpaka ishinde tu kila siku utawasikia kocha fulani hafai au wachezaji fulani hawafai utadhani wao wana uwezo wa kuwa makocha,lazima tujifunze na soka linahitaji ustahimilivu sio kushinda kila siku tu.
 
Very sad, It's a shame naona Feyernood inakufa, wachezaji wengi wa Eerste divisie wamehamia kwenye EPL, La liga, Serie A hata Bundesliga, kwa Feyenoord ambayo ni timu ya watu, hii ni majonzi, nakumbuka miaka ile ya 1992 tunaenda kule mitaa ya Rotterdam ili tu kuwaona wachezaji kwa vile wachezaji wa Feyernood wanajichanya sana mitaani, kama pale mitaa ya niuewe binenweg kuna restaurant ya wasurinami utawakuta akina Van Gobel na Henrik Larson wamejichanganya wanapiga stori, na ukiingia klabu Ahoy jumapili utawabamba wachezaji vilevile. timu ile ya 93 ya akina De Goey, Witschge, Blinker iliyochukua ubingwa ilikuwa kiboko.
"Het breekt mijn hart!! Zo droevig om FEYENOORD te zien daalde" "Verbeter je zelf, geen woorden maar daden"
 
Very sad, It's a shame naona Feyernood inakufa, wachezaji wengi wa Eerste divisie wamehamia kwenye EPL, La liga, Serie A hata Bundesliga, kwa Feyenoord ambayo ni timu ya watu, hii ni majonzi, nakumbuka miaka ile ya 1992 tunaenda kule mitaa ya Rotterdam ili tu kuwaona wachezaji kwa vile wachezaji wa Feyernood wanajichanya sana mitaani, kama pale mitaa ya niuewe binenweg kuna restaurant ya wasurinami utawakuta akina Van Gobel na Henrik Larson wamejichanganya wanapiga stori, na ukiingia klabu Ahoy jumapili utawabamba wachezaji vilevile. timu ile ya 93 ya akina De Goey, Witschge, Blinker iliyochukua ubingwa ilikuwa kiboko.
"Het breekt mijn hart!! Zo droevig om FEYENOORD te zien daalde" "Verbeter je zelf, geen woorden maar daden"

Ik hou van Feyenoord:smile-big: licha ya kufungwa lol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom