Huyu Mapepe Nepi Ninaye hana lolote zaidi ya kuwa kamdomo kadogo ka Jakaya Kikwete. Na kweli ni mchizi na fyatu hasa ikizingatiwa kuwa huuchapa ulabu kama ana akili nzuri. Bado ni mdogo na akizubaa akina Ewassa watamsokoine kama siyo kumkolimba. Mape katafute kisichana uoe uachane na kufua nepi za Jakaya. Kumbe Malecela aliamua kuwakimbizia vitegemezi vyake USA baada ya vibinti kupewa ulaji nchini siyo? Ama kweli cha mlevi huliwa na mgema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.