ma2mbo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 697
- 326
ubaya uko wapi?
ubaya upo kwenye udhalilishaji.
ubaya uko wapi?
today's perspective
mmakonde na mmakua wanaoneshana ubabe kwenye lugha ya watu.
Ubazazi na utumwa wa kifikra tu.
Mwanamme huna staha, kazi kujivika uhusika wa ki*****
define udhalilishaji
udhalilishaji ni kufanya kitu au kutoa lugha ya kumvunjia heshima mwenzio.
if a woman say no is not a crime please am I the only woman hapa jf guys give me a break msinipe pressure bure
uandhani hii sredi inamtendea haki YM?
Na je umefuatilia hilo jibu nlotoa ilikuwa in response ya kitu gani?
basi mtu wangu,tufunge mjadala maana hautakwisha.au vp?
kongosho you also need a evening class ulitaka kusema you smell a rat unasema you smerr lat hahaha shule bwana
I think now is the right time
wanapendana.
young master kubali yaishe you cant
reach a star I am above everything in this world you are living young man
ningekushauri kitu ym, lakini sitaki kuingilia uhuru binafsi.
I smerr a lat!