Imekuwaje Fei, Tshabalala na Kapombe nje stars?

Soloma TV Online

Senior Member
Jun 26, 2023
104
291
Kama ilivyokuwa kwenye mkeka wa Teuzi za Mawaziri na Makatibu wa Wizara mbalimbali kutoka baadhi ya Waheshimiwa walikuwa bize kuangalia kama wametokea kwenye mkeka huo ndivyo ilivyokuwa kwa wadau wa soka walivyokuwa bize kuangalia mkeka wa Taifa Stars.

Macho ya wadau yakajikuta yakianza juu na kushuka chini yakiwa yanatafuta majina matatu ya SHOMARI KAPOMBE, MOHAMMED HUSSEIN NA FEI TOTO ambao hawajatokea kwenye mkeka huo.

Huku swali likiwa IMEKUWAJE?
 
Kama ilivyokuwa kwenye mkeka wa Teuzi za Mawaziri na Makatibu wa Wizara mbalimbali kutoka baadhi ya Waheshimiwa walikuwa bize kuangalia kama wametokea kwenye mkeka huo ndivyo ilivyokuwa kwa wadau wa soka walivyokuwa bize kuangalia mkeka wa Taifa Stars.

Macho ya wadau yakajikuta yakianza juu na kushuka chini yakiwa yanatafuta majina matatu ya SHOMARI KAPOMBE, MOHAMMED HUSSEIN NA FEI TOTO ambao hawajatokea kwenye mkeka huo.

Huku swali likiwa IMEKUWAJE?
Yaani wewe ulitaka kwa mfano asiitwe Kibabage, aitwe nani sasa hapo.
 
Kama ilivyokuwa kwenye mkeka wa Teuzi za Mawaziri na Makatibu wa Wizara mbalimbali kutoka baadhi ya Waheshimiwa walikuwa bize kuangalia kama wametokea kwenye mkeka huo ndivyo ilivyokuwa kwa wadau wa soka walivyokuwa bize kuangalia mkeka wa Taifa Stars.

Macho ya wadau yakajikuta yakianza juu na kushuka chini yakiwa yanatafuta majina matatu ya SHOMARI KAPOMBE, MOHAMMED HUSSEIN NA FEI TOTO ambao hawajatokea kwenye mkeka huo.

Huku swali likiwa IMEKUWAJE?
Who is the Head Coach?
 
Kama ilivyokuwa kwenye mkeka wa Teuzi za Mawaziri na Makatibu wa Wizara mbalimbali kutoka baadhi ya Waheshimiwa walikuwa bize kuangalia kama wametokea kwenye mkeka huo ndivyo ilivyokuwa kwa wadau wa soka walivyokuwa bize kuangalia mkeka wa Taifa Stars.

Macho ya wadau yakajikuta yakianza juu na kushuka chini yakiwa yanatafuta majina matatu ya SHOMARI KAPOMBE, MOHAMMED HUSSEIN NA FEI TOTO ambao hawajatokea kwenye mkeka huo.

Huku swali likiwa IMEKUWAJE?
I wish wazitokee kbsa wachezaji gani hao wachezaji Ni wengi mno wakucheza nafsi huo
 
Kama ilivyokuwa kwenye mkeka wa Teuzi za Mawaziri na Makatibu wa Wizara mbalimbali kutoka baadhi ya Waheshimiwa walikuwa bize kuangalia kama wametokea kwenye mkeka huo ndivyo ilivyokuwa kwa wadau wa soka walivyokuwa bize kuangalia mkeka wa Taifa Stars.

Macho ya wadau yakajikuta yakianza juu na kushuka chini yakiwa yanatafuta majina matatu ya SHOMARI KAPOMBE, MOHAMMED HUSSEIN NA FEI TOTO ambao hawajatokea kwenye mkeka huo.

Huku swali likiwa IMEKUWAJE?
Kocha wa Taifa aachwe afanye kazi yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom