Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Kama ilivyokuwa kwenye mkeka wa Teuzi za Mawaziri na Makatibu wa Wizara mbalimbali kutoka baadhi ya Waheshimiwa walikuwa bize kuangalia kama wametokea kwenye mkeka huo ndivyo ilivyokuwa kwa wadau wa soka walivyokuwa bize kuangalia mkeka wa Taifa Stars.
Macho ya wadau yakajikuta yakianza juu na kushuka chini yakiwa yanatafuta majina matatu ya SHOMARI KAPOMBE, MOHAMMED HUSSEIN NA FEI TOTO ambao hawajatokea kwenye mkeka huo.
Huku swali likiwa IMEKUWAJE?
Macho ya wadau yakajikuta yakianza juu na kushuka chini yakiwa yanatafuta majina matatu ya SHOMARI KAPOMBE, MOHAMMED HUSSEIN NA FEI TOTO ambao hawajatokea kwenye mkeka huo.
Huku swali likiwa IMEKUWAJE?