luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Nilimsikia majuzi Rais wa SMZ akishukuru kwa SJMT baada ya SMZ kupewa ofisi katika ikulu mpya ya Dodoma.
Je, ni kwa sababu ni ikilu mpyaaa au hata pale magogoni SMZ wana Premise zao?
Isitoshe niliwahi kusikia pia kama SMZ walipewa eneo la kujenga Ofisi zao pale Dodoma.
Binafsi najiuliza sana kwanini ardhi ya sehemu moja ya Muungano ina pendwa sanaa ilihali kwa wenzetu huko chao ni chao hakuna ku share. Kuna vitu haviko sawa ktk Muungano huu.
Je, ni kwa sababu ni ikilu mpyaaa au hata pale magogoni SMZ wana Premise zao?
Isitoshe niliwahi kusikia pia kama SMZ walipewa eneo la kujenga Ofisi zao pale Dodoma.
Binafsi najiuliza sana kwanini ardhi ya sehemu moja ya Muungano ina pendwa sanaa ilihali kwa wenzetu huko chao ni chao hakuna ku share. Kuna vitu haviko sawa ktk Muungano huu.