IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,463
- 7,385
Nunua bwana si zipo madukani?then lipuka nayo mpaka dukani kwa mangi alafu nipe feedback,so kwa anayevaa na hajaoa anakuwa kapewa na mpnz wake?
Good advice_hakuna haja ya kulipuka nayo mpaka kwa mangi_kuna masista du hapa watoto wa mama mwenye nyumba najua wataleta za kuleta tu,halafu ntakuteli....nikiona vip ni vuuuuuuuuuuuuuup mpaka grocery ya jirani..yaani mpaka waseme kitu maake wenye kukereheka kama ww hawakosekani.