Imani ya chama

CDM kama chama kipya tunatarajia kitoke kivingine, pamoja na kushahihisha yale wanayodhani ni fikra mgando za chama wanachotaka kukiondoa madarakani. Swali halijajibiwa. Itikadi ya CDM ni nini wandugu? Mbona kigugumizi?

Watueleze sasa wanataka kutoka vipi? waweke mikakati yao ya uchumu na tuipime kukosoa ni rahisi lakini ukipewa ngoma ucheze inakuwa ngumu jamani. Chadema bado kabisa kupewa njiiiii. Ila nashukuru wanatoa changamoto kwa chama chetu kitukufu cha magamba. Hakika safari bado ni ndefu sana. Watu wanapenda ushabiki tuuuu lakini hatuoni practical kutoka kwa hao viongozi wetu wa CDM! Hata viti maalumu vilijaa mizengwe sana???
 
Toa mifano kama vile kuuziana magari mabovu bila kanuni! wanaopiga kelele jukwaani leo wanamiliki Mavogue? Mshahara wa Katibu mkuu ukichanganya na marurupurupu sawa na Katibu wangu wa chama cha Magamba? jamani tusidanganyane sijaona chama mbadala zaidi ya CCM.

Baki huko huko na ccm yako inayoelekea kuzama huku Chadema hatutaki watu wanafiki Kama wewe hasa unaposema mshahara wa Slaa ni ufisadi,mmesahau IPTL,EPA,RICHMOND to DOWANS na Mengine mengi yaliyowaacha wananchi wengi ktk hali ya umasikini mmbaya na hakika mtalipa ngoja siku ya mwisho ifike
 
Baki huko huko na ccm yako inayoelekea kuzama huku Chadema hatutaki watu wanafiki Kama wewe hasa unaposema mshahara wa Slaa ni ufisadi,mmesahau IPTL,EPA,RICHMOND to DOWANS na Mengine mengi yaliyowaacha wananchi wengi ktk hali ya umasikini mmbaya na hakika mtalipa ngoja siku ya mwisho ifike

Ndo maana tumeamua kujivua magamba na wote ambao tutawavua watakaribishwa CDM! sisi ni kujirekebisha kidogo tuuu. Hivi nyumba yako ikipata ufa utaibomoa uanze upya? huo si ufisadi mwingine. Ishu ni kuuziba huo upa I THINK ITS COST EFFECTIVE!!! sasa sie tumeanza kuziba hizo nyufa. Hatukatai UFISADI, UROHO WA MADARAKA, WAZEE KUNGANGANIA MADARAKANI na mambo chungu mbovu ni kweli yametokea CCM. Kwa nini?? Jibu ni rahisi kwamba kila kwenye msafara wa Mamba na Kenge wamo. Kenge wameharibu chama chetu kitukufu. Sasa tumeanza kuwapiga mawe hawa KENGE! and this is Operation KUVUA GAMBA.
 
Kuna vitu naanza kuwa sivielewi hapa jamvini, naona taratibu kuna mchakato wa kugeuza hili jamvi kuwa uwanja wa kusutana na ushabiki wa kisiasa.
Kajuni sio kwamba hakuna wa kukujibu hoja yako ila we mwenyewe umejishushia hadhi yako, umefanya watu makini wakudharau sababu umeonyesha ushabiki usio na tija na inaonekana tayari una majibu yako na una msimamo wako tayari so hamna wa kuubadili, we umeleta thread, tena wewe ndio unakuwa shabiki. Dudus amejaribu kukufafanulia kwa kiasi lakini bado umekazana kurukaruka tu humu.
Hivyo vitu ulivyojadili ni vipo kwenye "Azimio la Arusha" nadhani unahitaji kujifunza ni wakati gani kwenye siasa ndio huwa linakuja "Azimio" sababu kwa taarifa yako hilo azimio Mwalimu Nyerere hakuwa nalo wakati wa mapambano ya uhuru, bali lilifuata baada ya uhuru.
Kuna vitu vya kimazingira yalipelekea uwepo wa hilo Azimio,
Ambalo lilitenguliwa na Azimio la Zanzibar, ambapo hilo la Zanzibar halikuandikwa popote... kumbe mnaweza kuwa na Azimio ambalo halijaandikwa popote.
Je mtu akitokea akakwambia kuwa CDM wana Azimio la Mwembe yanga (Vita dhidi ya ufisadi, lilipoasisiwa kwa kutoa list of shame), utakubali? Sidhani kama utakubali sababu umekariri na unataka hilo liimbiwe wimbo rasmi?
Lakini ungekuwa unakumbukumbu vizuri katika historia yetu, mwaka 1965 (kabla hata ya Azimio) Mzee Nyerere alipata kueleza kuwa katika wakati ambapo nchi ipo huru adui namba moja dhidi ya maendeleo yetu ni "ufisadi" na baadae likafuatia Azimio la Arusha ambapo pamoja na mengine lilipiga vita ufisadi ambao ulianza kulitafuna taifa letu.
Kama vita dhidi ya ufisadi inayoongozwa na CDM (pamoja na hawana dola) kwako halijatosha kuwa Azimio? Au unachotaka ni nini hasa mkuu?
Mkuu Mbopo unazungumzia "ITIKADI" hahahaha hivi hata sijui kama unaelewa maana ya itikadi ndugu yangu, alichozungumzia Kajuni ni Azimio la Arusha ambalo lilisimamia itikadi ya UJAMAA (we unaona ujamaa wowote saiv??). Kitu cha kwanza kwenye chama chochote cha siasa ni ITIKADI ndugu yangu, wala usidhani kuna mtu ameshindwa kuwajibu sababu suala la itikadi hata TLP wana itikadi yao.
Watu hawajawajibu kuhusu itikadi ya CDM sababu weshawadharau kw akuonyesha mlengo wenu wa ushindani na ushabiki.
Kama mnataka kuyajua hayo kuhusu CDM kwa heri naamini mtayajua kwa kufuata taratibu za kawaida za mijadala ya kiungwana, mtajulishwa na wahusika.
Kama vijana ambao ndio mustakabali wa taifa hili, ni wito kwetu kuwa chachu ya mijadala ya msingi kuelekea ujenzi wa Tz njema (mpya). Kama wewe Kajuni kwa utashi wa fikra zako na kwa kuzingatia hatima ya vizazi vyako vijavyo, kweli unaweza ukajikita kwenye kuamini katika CHAMA ambacho kwa miaka 50 kimeshindwa kuleta hicho unachotamani katika miaka 50 ijayo?
Ok kama kama unaendelea kuamini hivyo ningekushauri iendelee kuwa kwa utashi wako binafsi, usijaribu kuwa kizingiti mbele ya watz wenzio ambao kwa maono yao na kupima busara ya uongozi uliopo na vipaumbele vyao imekuwa wazi sana kuwa suala kuhitaji mabadiliko ya mfumo katika namna ya kujitawala na kutawaliwa ni la lazima.
 
Kuna vitu naanza kuwa sivielewi hapa jamvini, naona taratibu kuna mchakato wa kugeuza hili jamvi kuwa uwanja wa kusutana na ushabiki wa kisiasa.
Kajuni sio kwamba hakuna wa kukujibu hoja yako ila we mwenyewe umejishushia hadhi yako, umefanya watu makini wakudharau sababu umeonyesha ushabiki usio na tija na inaonekana tayari una majibu yako na una msimamo wako tayari so hamna wa kuubadili, we umeleta thread, tena wewe ndio unakuwa shabiki. Dudus amejaribu kukufafanulia kwa kiasi lakini bado umekazana kurukaruka tu humu.
Hivyo vitu ulivyojadili ni vipo kwenye "Azimio la Arusha" nadhani unahitaji kujifunza ni wakati gani kwenye siasa ndio huwa linakuja "Azimio" sababu kwa taarifa yako hilo azimio Mwalimu Nyerere hakuwa nalo wakati wa mapambano ya uhuru, bali lilifuata baada ya uhuru.
Kuna vitu vya kimazingira yalipelekea uwepo wa hilo Azimio,
Ambalo lilitenguliwa na Azimio la Zanzibar, ambapo hilo la Zanzibar halikuandikwa popote... kumbe mnaweza kuwa na Azimio ambalo halijaandikwa popote.
Je mtu akitokea akakwambia kuwa CDM wana Azimio la Mwembe yanga (Vita dhidi ya ufisadi, lilipoasisiwa kwa kutoa list of shame), utakubali? Sidhani kama utakubali sababu umekariri na unataka hilo liimbiwe wimbo rasmi?
Lakini ungekuwa unakumbukumbu vizuri katika historia yetu, mwaka 1965 (kabla hata ya Azimio) Mzee Nyerere alipata kueleza kuwa katika wakati ambapo nchi ipo huru adui namba moja dhidi ya maendeleo yetu ni "ufisadi" na baadae likafuatia Azimio la Arusha ambapo pamoja na mengine lilipiga vita ufisadi ambao ulianza kulitafuna taifa letu.
Kama vita dhidi ya ufisadi inayoongozwa na CDM (pamoja na hawana dola) kwako halijatosha kuwa Azimio? Au unachotaka ni nini hasa mkuu?
Mkuu Mbopo unazungumzia "ITIKADI" hahahaha hivi hata sijui kama unaelewa maana ya itikadi ndugu yangu, alichozungumzia Kajuni ni Azimio la Arusha ambalo lilisimamia itikadi ya UJAMAA (we unaona ujamaa wowote saiv??). Kitu cha kwanza kwenye chama chochote cha siasa ni ITIKADI ndugu yangu, wala usidhani kuna mtu ameshindwa kuwajibu sababu suala la itikadi hata TLP wana itikadi yao.
Watu hawajawajibu kuhusu itikadi ya CDM sababu weshawadharau kw akuonyesha mlengo wenu wa ushindani na ushabiki.
Kama mnataka kuyajua hayo kuhusu CDM kwa heri naamini mtayajua kwa kufuata taratibu za kawaida za mijadala ya kiungwana, mtajulishwa na wahusika.
Kama vijana ambao ndio mustakabali wa taifa hili, ni wito kwetu kuwa chachu ya mijadala ya msingi kuelekea ujenzi wa Tz njema (mpya). Kama wewe Kajuni kwa utashi wa fikra zako na kwa kuzingatia hatima ya vizazi vyako vijavyo, kweli unaweza ukajikita kwenye kuamini katika CHAMA ambacho kwa miaka 50 kimeshindwa kuleta hicho unachotamani katika miaka 50 ijayo?
Ok kama kama unaendelea kuamini hivyo ningekushauri iendelee kuwa kwa utashi wako binafsi, usijaribu kuwa kizingiti mbele ya watz wenzio ambao kwa maono yao na kupima busara ya uongozi uliopo na vipaumbele vyao imekuwa wazi sana kuwa suala kuhitaji mabadiliko ya mfumo katika namna ya kujitawala na kutawaliwa ni la lazima.

Nimekupata pata nashukuru sana nikipata wengine kama wewe 10 hii kadi narudisha jumatatu pale nilipo ichukua! jamani leteni vitu nakaribia kubadilika!
 
CCM is a thing of past wana imani moja inasema "rushwa ni adui wa haki sitatoa wala kupokea rushwa" ndugu yangu wameichakachua leo angalia kadi za ccm haijaandikwa imefutwa inaubaya gani? Hata wakivua gamba bado ni walewale hawabadiliki na hizo imani wamekuwanazo siku zote mbona hazisimamiwi hawana jipya
 
ndiyo yalokuleta humu jf, kueleza imani ya ccm? umelaaniwa wewe....niambie baada ya mwlimu na sokoine na kawawa na karume...hiyo imani ipo inaishi humo? tafakari kabla ya kukurupuka wewe.
 
Jamani kwa kweli baba wa taifa alikuwa na malengo na nia nzuri sana kwa watanzania. Ebu tuziangalie imani za chama chetu cha Mapinduzi. Nita nukuu....

Chama kinaamini kwamba:-

Binadamu wote ni sawa.
Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake.

Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru.

Kweli imani hizi zinatekelezeka? au zimepitwa na wakati? au ni nzuri kuzitamka mdomoni? Tafakari.

Je, bado CCM inaimani hiyo? au kikao cha Zanzibar kili badirisha imani hii? Nakumbuka mzee Butiku juzijuzi pale Nkruma hall wakati wa kuchangia hoja juu ya Azimio la Arusha na katiba mpya, alisema hakuna kitu kinachoitwa Azimio la Zanzibar isipokuwa kilikuwa kikao cha kawaida cha halmashauri kuu ya CCM ambapo viongozi wa chama waliomba walegezewe masharti na miiko ya uongozi ili wawezi kulimbikiza mtaji kidogo wasiendelee kuwa ombaomba! Sijui kama iliwekwa mipaka ya ulegezaji huo! wala hawakuweka maandishi ya ulegezaji huo. Hivi imani hizi za chama nazo hazikulegezwa? Taabu ni kwamba hatuoni maandishi, lakini matendo tunayaona hata sisi walemavu wa macho.
 
Toa mifano kama vile kuuziana magari mabovu bila kanuni! wanaopiga kelele jukwaani leo wanamiliki Mavogue? Mshahara wa Katibu mkuu ukichanganya na marurupurupu sawa na Katibu wangu wa chama cha Magamba? jamani tusidanganyane sijaona chama mbadala zaidi ya CCM.
Yaelekea hata wewe Hujakikubari Chama cha Wanamapinduzi ila pa kukimbilia ndipo hujapata Unapenda usichokipenda hilo ndio lopo wazi Una akili sana
 
Chama kimeanza kujivua MAGANBA na hakika kama tukirudi kwenye misingi hii sioni haja ya kwanini hii kadi yangu niirudishe? mpaka jamaa watakapo ni shawishi vya kutosha.
ni gamba lipi hilo lililovuliwa? umelipwa kuja sema haya au ni kwamba una uwezo mdogo wa kufikiri.
 
Toa mifano kama vile kuuziana magari mabovu bila kanuni! wanaopiga kelele jukwaani leo wanamiliki Mavogue? Mshahara wa Katibu mkuu ukichanganya na marurupurupu sawa na Katibu wangu wa chama cha Magamba? jamani tusidanganyane sijaona chama mbadala zaidi ya CCM.

Wamekuelewa lakini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom