WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Mpaka sasa wananchi wameweza kuona ni kwa jinsi gani matatizo yanayoikumba nchi yetu yanazidi kuongeza licha ya kuwepo sheria, vyombo na taasisi mbalimbali za kisheria zenye nguvu na mamlaka ya kuyashughulikia.Wapo wenye kuamini kwamba maadam kuna sheria na vyombo hivyo, basi mafisadi watakiona cha moto.Kwani Sheria ni nini, ni za nani na kwa manufaa ya nani?