Pascal MayallaMbona mnaogopa kusema leo ni siku ya Uhuru wa Tanganyika? Nchi inayoitwa Tanzania bara haijawahi kuwepo, wala kupewa uhuru.
CCM acheni kupotosha historia
Yeye naye analiogopa jina Tanganyika?
Huyu anayeshauriwa na bashite!Sijui kwa kweli ila ni Aibu.
Achilia mbali majonzi tulio nayo Hanang...
Hali ya Miundo mbinu sehemu mbalimbali nchi..
Kukatika kwa umeme kusiko koma.
Hali ni mbaya mno. Tunaendaje sherekea. !?
View attachment 2837209
Picha la kutisha..kama CYBORG....😱😱
Majanga si madogoSijui kwa kweli ila ni Aibu.
Achilia mbali majonzi tulio nayo Hanang...
Hali ya Miundo mbinu sehemu mbalimbali nchi..
Kukatika kwa umeme kusiko koma.
Hali ni mbaya mno. Tunaendaje sherekea. !?
View attachment 2837209
Picha la kutisha..kama CYBORG....😱😱
Mkuu hela lazima iliwe. Waraadhimisha tuMaadhimisho yanafanyika mkoa gani?
Tunasherehekea uhuru Gani wakati tunaongozwa na matapeli tu. Tena mungu yachukue yote hayaSijui kwa kweli ila ni Aibu.
Achilia mbali majonzi tulio nayo Hanang...
Hali ya Miundo mbinu sehemu mbalimbali nchi..
Kukatika kwa umeme kusiko koma.
Hali ni mbaya mno. Tunaendaje sherekea. !?
View attachment 2837209
Picha la kutisha..kama CYBORG....😱😱
Lazima nchi ikumbuke uhuru wake, kama uhuru gharama, fanya makosa ukakae gerezani utuletee jibuSoma tena ... Hizo gharama zingeelekezwa kutatua taabu na kadhia za miundo mbinu
Naunga mkono hojaUhuru wa Tanganyika siyo kama Sherehe ya ndoa kwamba unaweza kuifuta utakavyo
Wajameni ni katika kukumbushana tuu kuwa maadhimisho ya leo ni ya Uhuru wa Tanzania, na sio wa Tanganyika!.
Nawatakia sikukuu njema ya Uhuru na Jamhuri.
Paskali
Angalau leo umeongea pointi! 👍👍👍👍Uhuru wa Tanganyika siyo kama Sherehe ya ndoa kwamba unaweza kuifuta utakavyo
Mpiga picha yuko makini...😂😂Nimependa bango la barabarani kwenye picha iliyoambatanishwa kwenye uzi huu.
Anyway.
Tofauti ya Magufuli na Marais wengine ni vitu kama hivi, the man was not perfect, but he always pushed a winning chess.
RIP Magufuli.