GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,930
- 109,726
Na kinachonikera zaidi hilo Goma lenyewe anashea na Wachezaji Wenzake Mkude na Nyoni hivyo kwa Kiwango chake Kushuka na Mpira mbovu alioucheza jana kuanzia sasa ( leo ) nawaahidi wana Simba SC wote ili Kumlinda Beki Tshabalala na Kiwango kisipotee nikimuona tu Kawe na Gari yake akielekea Mitaa ya Makaburi Matatu Kawe Ukwamani kwa Goma lake nampopoa na Mawe ili aachane nae upesi na hilo Goma liendelee na Wachezaji Mkude ( Yanga ) na Nyoni ( Namungo ) na katika hili Sitanii nitampopoa Kweli.
Mtoto Mdogo anapenda mi 'Inye' tu.
Mtoto Mdogo anapenda mi 'Inye' tu.