Ila sisi watanzania ni watu wa hovyo sana

tang'ana

JF-Expert Member
Apr 3, 2015
11,813
15,078
Siku zote tulikua tukipiga kelele kwa sauti moja kuhusu kuchukuliwa hatua za kisheria kwa viongozi mafisadi,sasa leo tena upepo umebadilika,tumeanza kuwapa support badala ya kushnikiza washtakiwe!inashangaza sana.
 
Watanzania ni wajinga kweli.
Yaani nchi ilivyochoshwa na ufisadi halafu mtu ambaye hawezi hata kutamka neno ''ufisadi'' ndio anashabikiwa kuiongoza nchi!
Lakini tatizo lingine ni usalama wa raia.Si dhani kama usalama wa raia wanatakiwa kuendekeza watu wa hivi kwa singizio cha demokrasia.
 
Ni baadhi ya watu walionunuliwa na kufungua ids nyinginyingi hapa jukwaani kiufupi wapo wachache msipate tabu nao oktoba watatafuta pa kuendea baada ya kula vya watu
 
Njaa na ukosefu wa akili ni vitu vibaya sana. Kuna watu wanachukulia siasa km ushabiki Wa Simba na Yanga bila kujua kuwa siasa inagusa maisha Yao ya kila siku.

Watu wengine wananunuliwa kwa 50,000 anauza utu wake na hawezi kufikiria na kuona nje ya box alilofungiwa. Wapo wengi humu JF na nje ya jukwaa hili.
 
Don't underestimate the ignorance of Tanzanians. They are always getting it wrong when it comes to electing their leaders and they never learn.
 
Siku zote tulikua tukipiga kelele kwa sauti moja kuhusu kuchukuliwa hatua za kisheria kwa viongozi mafisadi,sasa leo tena upepo umebadilika,tumeanza kuwapa support badala ya kushnikiza washtakiwe!inashangaza sana.

YOU ARE RIGHT. it is my hope that a few people may change the world. It may take time, but slowly, slowly, the majority will learn from the minority ! USIKATE TAMAA, your feelings and the words you write down today will be there to stay !
 
Siku zote tulikua tukipiga kelele kwa sauti moja kuhusu kuchukuliwa hatua za kisheria kwa viongozi mafisadi,sasa leo tena upepo umebadilika,tumeanza kuwapa support badala ya kushnikiza washtakiwe!inashangaza sana.

90 % ni mazombi huwa hawajielewi na hawajui wanachotaka
 
Mtoa Mada upo sahihi, bila shaka yoyote Watz wengi ni wajinga sana.

Hatutapata maendeleo tunayotamani ikiwa tutaendelea kuwa na mtazamo ujinga huu.


Ila, walioko kwenye siasa wasiache wala kuchoka kutoa elimu kwa wananchi wa Tanzania, kwani ipo siku ambayo watoto na wajukuu zetu wataweza kupata viongozi wazuri sana watakaofanya kazi kwa niaba ya wananchi wote.

Kipindi hiki wananchi ni wajinga kupita maelezo,
 
Aid hard=Edward; Lower Sir =Lowassa.Wonder why he wants the presidency that much? His name reflects his inner character (personality) which is to win something by all means.
 
Njaa na ukosefu wa akili ni vitu vibaya sana. Kuna watu wanachukulia siasa km ushabiki Wa Simba na Yanga bila kujua kuwa siasa inagusa maisha Yao ya kila siku.

Watu wengine wananunuliwa kwa 50,000 anauza utu wake na hawezi kufikiria na kuona nje ya box alilofungiwa. Wapo wengi humu JF na nje ya jukwaa hili.

BLESSED ARE YOU Kigalagala. Wataalam wanasema, kutambua tatizo ni hatua kubwa kuelekea kulitatua tatizo hilo. USIKATE TAMAA, USIVUNJIKE MOYO. Kama ni ya kweli, Haya uliyoandika hapa, na yale unayowaza, HAYATAFUTIKA. Maamuzi yanayotokana na kupokea pesa, NI MAAMUZI YA MUDA MFUPI TU, na ukweli utabaki kuwa ukweli !
 
Ni baadhi ya watu walionunuliwa na kufungua ids nyinginyingi hapa jukwaani kiufupi wapo wachache msipate tabu nao oktoba watatafuta pa kuendea baada ya kula vya watu

Mkuu mambo kama hayo ndo yanarudisha nyuma mapambano na ufisadi eti watu wachache ndo wamefungua id nyingi Angalia huko mtaani kila mtu lowasa yaani katika kumi saba upande wafisadi alafu unakuja hapa na mbwembwe eti wachache, tu kubali ukweli alafu tupange mikakati nini cha kufanya sio kukimbia ukweli then tunaanza aaah walituibia kura
Kingine kinachotuumiza sisi ukawa mpaka sasa hatujui nani atashika bendera upande wa wetu ndo maana hata upepo unaelekea kwa mafisadi yaani tunajichinjia bahari sisi wenyewe
Let wakeup tupambane kubonyeza keyboard na kusema tutashinda ni ndoto na hata ukitaka kuangalia humu ndani karibia robo tatu ya members ni upinzani ila wapigakura kule mtaani wanashabikia mafisadi na ndio maana ukileta kupiga kura hapa kati ya lowasa na Dr slaa huyu wa kwetu anashinda kwa kura nyingi sana ila ukienda field kwa wapigakura ndo huko wanakotupoteza
So tuache siasa za kwenye mitandao pekee twende ground ndo ushindi unapopatikana
 
Siku zote tulikua tukipiga kelele kwa sauti moja kuhusu kuchukuliwa hatua za kisheria kwa viongozi mafisadi,sasa leo tena upepo umebadilika,tumeanza kuwapa support badala ya kushnikiza washtakiwe!inashangaza sana.
Kwa Kweli inashanga sana sana na kwa mtu mwenye akili timamu LAZIMA ushikwe nakigugumizi sababu Leo mnapiga Kelele fisadi Kesho mnaandamana kudu ungu mkono na Chama eti kimteua kugombea Urais. WATANZANIA wengi ni wendawazimu, ndiyo maana wananunuliwa kwila mmoja anabei yake.
Mtu huyo anakuambiayeye si TAJIRI na anatamani sana utajiri, Hali inajulikana kabisa ni tajiri nafsi yake inalijua kabisa Hilo. Hivi unategemea nini akiingia IKULU huku Anajua mnajua kabisa katumia Pesa nyingi sana ZaKe na marafiki zake kuwarubuni afike IKULU, LAZIMA pesa yake na marafiki zake irudi Mara 1000, na pia apate utajiri anaoutamani kwa uelewa wa nafsi yake maana wakati huo hakutakuwa na mtu wa kusema "fyo"
 
Back
Top Bottom