Wana JF acheni kulumbana. Toeni michango badala ya kulumbana!!!Mada imeeleweka hata kama hakuedit post yake.
Hivi ofisi za serikali zinakarabatiwa kila mwaka? Hizo hela zingesomesha wa Tanzania wangapi, zingesaidia wajawazito wangapi, zingejenga barabara ngapi, zingenunua dawa kiasi gani kwa hospitali zetu, madaktari na manesi wangeweza kuboreshewa mishahara ili wasitunyanyapae tukienda hospitali!!! Mbona siielewi nchi yetu!! Priority iko wapi??? Wafanyakazi wangeweza kuongezewa mishahara wanayodai na mengine mengi tu!!
Hivi ofisi za serikali zinakarabatiwa kila mwaka? Hizo hela zingesomesha wa Tanzania wangapi, zingesaidia wajawazito wangapi, zingejenga barabara ngapi, zingenunua dawa kiasi gani kwa hospitali zetu, madaktari na manesi wangeweza kuboreshewa mishahara ili wasitunyanyapae tukienda hospitali!!! Mbona siielewi nchi yetu!! Priority iko wapi??? Wafanyakazi wangeweza kuongezewa mishahara wanayodai na mengine mengi tu!!
Nawewe kupika rangi ndio nini au wanatengeneza mikeka..