Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,753
- 699,418
Tuliza mzuka kwanza. Biswalo Mganga anaapa. Habari za mikutano inakuja mama ni msikivu.Tanzania ni yetu sote sisi kama CHADEMA tunayo haki ya Kikatiba ya kufanya Siasa bila buguza au mnapenda
Mbina CCM mnalazimisha kuliongoza Taifa kwa nguvu wakati Wananchi hawawatakii
Biswalo amekula kiapo. Amekuwa jaji wa mahakama kuu.
Wabheja loloTuliza mzuka kwanza. Biswalo Mganga anaapa. Habari za mikutano inakuja mama ni msikivu.
Mwambie huyo, asiye juwa kutofautisha taga na sukumagang!Hakuna vita Boss, wala mimi sio mataga. Ila walimlazimisha mama asimuapishe.
Sukuma gang je?CDM wamenuna
We fala acha ufala.Mwambie huyo, asiye juwa kutofautisha taga na sukumagang!
Ule wa Chadema ulikuwa ushauri kama wadau wa siasa wa nchi hii. Kwa hiyo anayo mamlaka ya kuukubali au kuukataa.Kwahiyo amewapuuza
sasa tuone hizo B 60 alizozifungulia BOT atazitoaje?Sifurahii mtu kuonewa. Ila mtu umeonewa bora ufungwe Mungu ajue umeonewa. Kwani Dpp alikuwa analazimisha kukubali makosa?
Unajua maana ya kulazimisha lakini?Hakuna vita Boss, wala mimi sio mataga. Ila walimlazimisha mama asimuapishe.
CDM walisema wamepeleka pingamizi mahakamaniUlitegemea Chadema waende ikulu wakazuie wao wameshauri tu.
YesUlitegemea Chadema waende ikulu wakazuie wao wameshauri tu.
CCM haikubali maana inajua wazi haipendwiKwa mtazamo wangu sio vita ila ccm ndio wanifanya vita sisi CHADEMA na wao CCM sote tunataka ridhaa ya Watanzania Serikali ingeweka Uwanja sawa wa siasa halafu Watanzania waamue nani wanamtaka wala sio rocket science
Walisema saa ngapi.CDM walisema wamepeleka pingamizi mahakamani
ni wewe bagamoyoTakataka kabisa