Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,906
- 10,390
IKULU,Chamwino Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana leo Mei 06,2021 Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.
Hilo linaeleweka mkuu75% ya wajumbe hawakuchaguliwa na wananchi
Hakuna baraza hapo ni fakeHilo linaeleweka mkuu
Kwahiyo unatakaje?Hakuna baraza hapo ni fake
LivunjweKwahiyo unatakaje?
Alafu awekwe nani? Hebu pendekeza.Livunjwe
Kuwe na baraza la mpitoAlafu awekwe nani? Hebu pendekeza.
PoleKuwe na baraza la mpito
AsantePole
Nyumbu wameachana na Lisu sasa hivi wanatimua mbio kuelekea ccm kwa mama Samia.Mama Mungu akutunze na kukulinda, mipepo michafu iliyoachwa na mwendazake imewavagaa watu. Wameanza kukuchukia bika sababu, hate Safari yako Kenya imewaudhi sana
Ni akina Nani wanaomchukia?Mama Mungu akutunze na kukulinda, mipepo michafu iliyoachwa na mwendazake imewavagaa watu. Wameanza kukuchukia bika sababu, hate Safari yako Kenya imewaudhi sana