Habari za Asubuhi wanaJF.nimekuwa katika swali kila siku kwamba Furaha zaidi upatikana ukiwa Singleau ukiwa kwenye inrelationship.Jamani wanaJF Msaada zaidi kwa hili?
we usiki yanayo tukia mjini mara mke wa mtu kafuma gesti at the same time mme anaye anatembea na housegirl hiyo sio furaha pia unaweza ukawa single ukaingia majaribu ya kutamani wake wa watu.bado sijaona furaha zaidi hiko wapi?
Furaha inategemeana wewe mwenyewe unavoitafisiri, unaweza ukawa single usiwe na furaha au ukawa na furaha, unaweza ukawa kwenye relationship ukawa na furaha au usiwe na furaha so in short furaha inakutegemea wewe mwenyewe kuicreate na sio mwingine. ITS ALL ABOUT YOU
inategemea ukiwa singo vitu gani huwa unainjo na ukiwa katka mahusianao kama mwenza wako anakupa vile unavyotaka...mi kwangu kote kote singo shangwe kama kawa ....kwenye mahusiano kama ilivyoandikwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.