Ikifika 40 years kama hujafanikiwa ni ngumu kutoka...

Ni kweli mafanikio katika maisha yako mengi. Ahsante kwa kuwa katika hili wewe umekuwa specific na ume focus kwenye utajiri na nahisi ni utajiri wa mali.

Utajiri wa mali ni relative term. Hakuna distinct line ya utajiri na umaskini na wala kipimo cha utajiri wa mali si kimoja. Utajiri wa mali unategemea sana na vision ya mtu katika maisha. Unahitaji uwe na nini ili uone kwamba uko satisfied kiasi kwamba sasa huna hitaji litakalokusumbua kulikidhi.

Mtu mmoja akipata nyumba yenye sakafu ya marumaru na choo cha maji ndani, na gari dogo na tractor la kulimia, huyo mtu hahitaji zaidi na atajulikana hata tabia zake zilizofichika. Wakati huo huo mtu mwingine ana miliki estates za mansions na ana boats, na ndege, bado anahitaji kumiliki visiwa katika kila continent na ikiwezekana hata afuge na viumbe wanaoishi katika sayari zingine.

Wakati hayo yote yanaweza kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na jitihada ama fursa anazobahatika mtu kuzipata, bado zinahitaji kuunganishwa na uwezo wa mazingira yake ili ziweze kuleta satisfaction. Kunahitajika conducive macro na micro environments kama vile political stability, responsive social and economic policies, supportive ecological and geographical conditions.

Ni kweli umri kama miaka inanafasi yake katika uwezo wa mtu ku pursue life visions lakini miaka arobani siyo kigezo. Inahitajika mtu awe na afya njema ya mwili, akili, nafsi na roho kitu ambacho kinamahitaji yake mengine zaidi ya miaka ya kuishi.

Mtu wa miaka sitini akiwa na positive mental, spiritual and physical health anaweza kuwa na uwezo mkubwa wa kufacilitate mafanikio ya malengo yake zaidi ya kijana mwenye miaka 30 ambaye ana ill health. Lakini pia anaweza ku-recover katika umri mkubwa zaidi ya 40 na akafanya zaidi ya muda wake wa utoto.

Kwa hiyo kijana usiogope umri. Fanya mambo yako kwa malengo na speed ndiyo huku ukilinda na kutunza afya yako. Lakini pia, chagua CDM itakayokujengea mazingira sahihi ya kufanikisha malengo yako. Na si ccm inayodumaza kwa huduma mbovu na udanganyifu.

Tuko pamoja.

Like from Kurunzi.
 
ivi riz1,amechafika 40yr?


mtoto wa traffic oficer hafanyi driving test akitafuta leseni ya uendeshaji wa vtombo vya moto vitembeavyo barabarani tanzania..............sio sheria.......ila kuna shria kuhusu leseni ya kuendesha vyombo vya moto tanzania.................tafakari
 
ask Mr Ray Kroc, (the guy who helped to make mcdonalds great) made millions when he was pass 50 years opportunities when knocks just seize them dont worry about age although vunja mifupa wakati meno bado ipo
 
sio kweli kwamba ukiwa na 40yrs and plus basi huwezi kufanikiwa kipesa! jambo la msingi fanya tathmini ya kazi/shughuli unaifanya hivi sasa na umeifanya kwa muda gani na kwa nini haijakutoa! then angalia kipato unachokipata unakitumiaje? hapo ndipo penye tatizo. kama unapata kipato safi ila matumizi ni kama kuna 'ka chuma ulete' basi badirisha mfumo wa matumizi yako. lakini kama mfumo wa matumizi ni mzuri basi tatizo ni kazi/shughuli unayoifanya. badirisha hiyo shughuli/kazi. usihesabu risk, lakini lazima uwe risk taker. watu wengi hatufanikiwi kutokana na kuogopa risk. halafu mafanikio hayako direct propotional na kiwango cha elimu. kuna watu ambao walikuwa vilaza darasani lakini leo ni matajiri wakubwa sana. na kuna watu ni ma-super geneus lakini wanaishi poor life!
 
nafikiri kwa uchambuzi uliofanyika so far muuliza swali atakuwa amepata jibu.

kimsingi mafanikio ya kifedha na mali hayajalishi sana lini utayapata bali yanazingatia SANA msingi uliojijengea wa kufikia mafanikio hayo, hasa hasa kama unataka mali na pesa zako ziendelee kizazi hata kizazi,
 
hapa bongo mtu mwenye form iv au std 7 akiwa na TOYOTA Opa na kupanga upande mzima wa nyumba plus flat screen anakuwa amepass kuwa na mafanikio

Haha haaa, inategemea na vigezo ulivyojiwekea hivyo yawezekana kwake yakawa ni mafanikio! Kwangu utajiri unaweza usiwe ni mafanikio.., je umeshawahi kujiuliza kama utajiri ni mafanikio mbona baadhi ya matajiri hawana furaha maishani?!
 
sio kweli kwamba ukiwa na 40yrs and plus basi huwezi kufanikiwa kipesa! jambo la msingi fanya tathmini ya kazi/shughuli unaifanya hivi sasa na umeifanya kwa muda gani na kwa nini haijakutoa! then angalia kipato unachokipata unakitumiaje? hapo ndipo penye tatizo. kama unapata kipato safi ila matumizi ni kama kuna 'ka chuma ulete' basi badirisha mfumo wa matumizi yako. lakini kama mfumo wa matumizi ni mzuri basi tatizo ni kazi/shughuli unayoifanya. badirisha hiyo shughuli/kazi. usihesabu risk, lakini lazima uwe risk taker. watu wengi hatufanikiwi kutokana na kuogopa risk. halafu mafanikio hayako direct propotional na kiwango cha elimu. kuna watu ambao walikuwa vilaza darasani lakini leo ni matajiri wakubwa sana. na kuna watu ni ma-super geneus lakini wanaishi poor life!
Mkuu nimekupata vizuri kabisa
 
ndugu yangu kama kufanikiwa nikuwa tajiri kuna source nyingi sana za kupata utajiri!
  • self made( mtu yeyote anaweza kujituma akazipata haijarishi umri)
  • illegal(mtu wa umri wowote anaweza akafanya illegal deal akatoka)
  • inheritance( ata mtu wa miaka hamsini anaweza kurithi mali za nduguze akawa tajiri)
  • luck( babu wa miaka sabini anaweza akacheza michezo ya kubahatisha,kamari akawa tajiri)
  • talent( mungu anatoa kwa wote haina umri hiyo kama kuwa musician,commedian etc)
sasa mpendwa umeshaona weakness ya point zako

ila kwangu mimi binafsi mafanikio nikuwa na amani moyoni! ndio kitu muhimu sana,sijui kwa wengine ngoja tusubiri waje wajuaji watatujuza vizuri

Obama wa bongo Mimi nimekupata vizuri sana, ila kuna kitu kimejengeka kwa baadhi ya watu kuwa "Behind every success there is a crime" Unalionaje hili?????
 
Back
Top Bottom