Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
"Huyo mama'ko" alipokwenda kwa mchungaji kuombewa kupitia hukooo, umesahau?
Ulimpeleka,nimekumbuka.
"Huyo mama'ko" alipokwenda kwa mchungaji kuombewa kupitia hukooo, umesahau?
Mie ndiyo niliwapiga hiyo picha.
ahahahaBaada ya kuombewa.
Nmelielewa andiko lako mkuu. Ila hili la kuishi kama shetani ili!!people do live aseehh....!!!
lakini maisha hayo ya brunei hayatoshi
kutupa tafsiri halishi ya maisha kwa ujumla...
living itself is totally a complex issue....
Huna lolote uzinzi unakusumbua tuIla hapo pa kupigwa mawe duuuh pagumu sana
Mkuu mbizi umefikia wapi?? au huko blunei ushaingia na mimi unipe njia??Kuna kila sababu ya kupiga mbizi ili kutokea Brunei
Duuh, hii kali!Yah ndiyo kipindi hicho.
Wana prince wao mmoja bishoo sana kila birthday huwaalika wanamziki mashuhuri wa marekani na kuwalipa maela mengi.
Ashawahi kumwalika usher raymond akamlipa ela nyingi na kumpa viatu vimenakshiwa kwa almasi, mariah carley, paris hilton na wengine kibao.
Pia mfalme wa brunei aliwahi mkodishia kinyozi ndege toka uingereza aende kumnyoa nywele.
Acha kabisa mkuu huyo mfalme ana zaidi ya gari 1000, then nyingine zometengenezwa mahususi kwa ajili yake toka viwandani kama rolls royce, ferrari, bentley yani matoleo customized kwa matakwa yake.Duuh, hii kali!
Sasa hapo shetani ni nani kati ya huyo mchungaji na hao madadaUnachanganya mambo.
Jinni ni kiumbe ambae wapo wengine wao ni mashetani. Kama ilivyo kwa binaadam, wapo wengine ni mashetani.
Shetani si lazima awe ni katika majinni, wapo binaadam mashetani, mfano huyu mchungaji: