Ijue kwa undani nchi ya Brunei ambako Raia hawalipi kodi ni kula bata tu

Yah ndiyo kipindi hicho.
Wana prince wao mmoja bishoo sana kila birthday huwaalika wanamziki mashuhuri wa marekani na kuwalipa maela mengi.
Ashawahi kumwalika usher raymond akamlipa ela nyingi na kumpa viatu vimenakshiwa kwa almasi, mariah carley, paris hilton na wengine kibao.
Pia mfalme wa brunei aliwahi mkodishia kinyozi ndege toka uingereza aende kumnyoa nywele.
Duuh, hii kali!
 
Duuh, hii kali!
Acha kabisa mkuu huyo mfalme ana zaidi ya gari 1000, then nyingine zometengenezwa mahususi kwa ajili yake toka viwandani kama rolls royce, ferrari, bentley yani matoleo customized kwa matakwa yake.
Na almost nusu ya ardhi ya mji mkuu wa brunei ni mali yake.
Sema maisha raa elimu bure, matibabu bure yani huduma zote za msingi ni bure...
 
Unachanganya mambo.

Jinni ni kiumbe ambae wapo wengine wao ni mashetani. Kama ilivyo kwa binaadam, wapo wengine ni mashetani.

Shetani si lazima awe ni katika majinni, wapo binaadam mashetani, mfano huyu mchungaji:

nigeria-abus-pasteur.jpg
Sasa hapo shetani ni nani kati ya huyo mchungaji na hao madada
 
Back
Top Bottom