Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,077
- 8,332
- Thread starter
- #61
Kwa nini mkuu, ndio mm ni kati ya hao? We seriously kabisa unaweza kula nguruwe! Soma post yangu ya 13 reasons to shun porkWewe utakua msabato au mvaa kanzu
Kwa nini mkuu, ndio mm ni kati ya hao? We seriously kabisa unaweza kula nguruwe! Soma post yangu ya 13 reasons to shun porkWewe utakua msabato au mvaa kanzu
Mkuu unaijua sharia law? Hata rate ya ukimwi ni ndogo mnooVipi matukio ya uhalifu.....???
Okay, kwa hiyo huko hata madanguro hakuna. Basi hakuwafai baadhi ya watu wanaoenda kutaliiMkuu unaijua sharia law? Hata rate ya ukimwi ni ndogo mnoo
kama hawalip kod, serikari imapata wapi pesa??Sultan ndio waziri wa ulinzi na ni waziri wa fedha pia.
"Sultan is not accountable to any legislative or watchdog body" (Jones, 2016)
"Sitaki kwenda huko"Kwa Nchi ka hovyo kabisa na ka ubaguzi uliopindukia! Eti no,6 na 7 marufuku! kwanza sitaki kwenda huko.
Huko hakuna night bussiness aisee na mwanamke amedidimizwa sana. Sheria za kipuuzi sana hata hapafai kwendaOkay, kwa hiyo huko hata madanguro hakuna. Basi hakuwafai baadhi ya watu wanaoenda kutalii
Gasi kama ya Mtwara mkuu, ila sultan ndio anatawala matumizi yote "he acts the country as his ATM"kama hawalip kod, serikari imapata wapi pesa??
Mkuu hao hawanywi beer, ilaSasa kama hamna hata bia ya safari... inakuwaje kwa wanywaji aisee???
Hizo sheria kweli hazifai.Huko hakuna night bussiness aisee na mwanamke amedidimizwa sana. Sheria za kipuuzi sana hata hapafai kwenda
Mambo ya kupeana masharti katika kugegeda hata hayana maana. Huko hata kuchepuka inaonekana haiwezekaniMkuu hao hawanywi beer, ila
Kugegedana ndio wanapenda sanaaaaaa ingawa usigegede mke wa mtu au kabla hujao
Muwe mnasoma comments za nyuma jamani.mbona swali lako limeshajibiwa mara kibao tu?Vyanzo vyao vya mapato ni nini mkuu?
Huko hakuna night bussiness aisee na mwanamke amedidimizwa sana. Sheria za kipuuzi sana hata hapafai kwenda
Uhuru haupo. Na hakuna kitu kibaya kama kukosa uhuruMambo ya kupeana masharti katika kugegeda hata hayana maana. Huko hata kuchepuka inaonekana haiwezekani
Gasi kama ya Mtwara mkuu, ila sultan ndio anatawala matumizi yote "he acts the country as his ATM"
Hata hiyo namba 9, unaweza kutumia Air conditioning tu.Hiyo nchi safi sana, tatizo ni hiyo no9 tu basi.
Uislamu umewasaidia sana.Wapo poa sana hawana mambo ya waarabu hao, na pia si waarabu. Watz wengi kila mwaka wanapata scholarship za kusoma huko. Wanatoa positive feedback juu ya mambo huko. Bado hata hivyo haijawa rasmi Jamhuri ya Kiislamu.