IGP Sirro, Loss Report kituo cha Polisi inatolewa mwisho saa ngapi?

tatum

JF-Expert Member
Jan 16, 2018
5,786
4,490
Pole na majukumu IGP Sirro najua uko busy sana na majukumu ya kujenga Taifa.

Watanzania wengi Ni wahanga wa kupotelewa na Mali aidha kwa kuibiwa au kupotea tu.

Ili kupata Mali iliyopotea Kama vitambulisho au line za simu ni lazima upate Loss Report kutoka vituo vya Polisi.

Ukifika Polisi zaidi ya saa Saba mchana huwezi kupata hiyo Loss Report hivyo huwezi kupata huduma kwenye ofisi inayohusika na Mali yako iliyopotea Kama makampuni ya simu.

Nakua Loss Report inalipiwa tsh 500 kwa wahasibu hapo Polisi je hakuna namna ya kuwa na zamu za kwa hao wahasibu ili atleast Loss Report iweze kutolewa ndani ya hata saa 12 za mchana?
 
Hivi unamchukuliaje IGP mpk umuulize yeye umeshindwa kwenda kituo cha polisi?
Pole na majukumu IGP Sirro najua uko busy sana na majukumu ya kujenga Taifa.

Watanzania wengi Ni wahanga wa kupotelewa na Mali aidha kwa kuibiwa au kupotea tu.

Ili kupata Mali iliyopotea Kama vitambulisho au line za simu ni lazima upate Loss Report kutoka vituo vya Polisi.

Ukifika Polisi zaidi ya saa Saba mchana huwezi kupata hiyo Loss Report hivyo huwezi kupata huduma kwenye ofisi inayohusika na Mali yako iliyopotea Kama makampuni ya simu.

Nakua Loss Report inalipiwa tsh 500 kwa wahasibu hapo Polisi je hakuna namna ya kuwa na zamu za kwa hao wahasibu ili atleast Loss Report iweze kutolewa ndani ya hata saa 12 za mchana?
 
Walisema Loss report inapatikana online lakini sehemu ya kujaza wilaya unayoishi haifanyi kazi! unajaza sehemu zote ukifika hapo unakwama.
 
Hilo swali la kuuliza IGP kweli! Si ungesimamisha askari wa usalama barabarani ukamuuliza na angekupa jibu.

Kwa sasa taarifa zote hupatikana mtandao kwenye wovuti ya Polisi, hivyo hakuna haja ya kwenda kituo cha polisi kwa sasa. Ukipotelewa unaingia kwenye wovuti yao na kutoa taarifa huko huko mnamalizana.
 
Huduma hiyo inakera nchi nzima....ndiyo maana anaulizwa mwenye dhamana na Polisi...
Unataka ulachukue Loss report usiku? Ni wapi umekwenda SAA 7 mchana ukakosa huduma au ilikuwa Jumapili?
 
Hilo swali la kuuliza IGP kweli! Si ungesimamisha askari wa usalama barabarani ukamuuliza na angekupa jibu.

Kwa sasa taarifa zote hupatikana mtandao kwenye wovuti ya Polisi, hivyo hakuna haja ya kwenda kituo cha polisi kwa sasa. Ukipotelewa unaingia kwenye wovuti yao na kutoa taarifa huko huko mnamalizana.
Hamjamuelewa mtoa mada,anashauri ipatikane masaa 12 baadala ikifika saa 7 hawataki kutoa hiyo loss report.
 
Pole na majukumu IGP Sirro najua uko busy sana na majukumu ya kujenga Taifa.

Watanzania wengi Ni wahanga wa kupotelewa na Mali aidha kwa kuibiwa au kupotea tu.

Ili kupata Mali iliyopotea Kama vitambulisho au line za simu ni lazima upate Loss Report kutoka vituo vya Polisi.

Ukifika Polisi zaidi ya saa Saba mchana huwezi kupata hiyo Loss Report hivyo huwezi kupata huduma kwenye ofisi inayohusika na Mali yako iliyopotea Kama makampuni ya simu.

Nakua Loss Report inalipiwa tsh 500 kwa wahasibu hapo Polisi je hakuna namna ya kuwa na zamu za kwa hao wahasibu ili atleast Loss Report iweze kutolewa ndani ya hata saa 12 za mchana?
kwani ile Ilani yenu ya CCM anayozurura nayo Kangi Lugola inasemaje kuhusu loss report?

Tuanzie hapo kwanza.
 
Unataka ulachukue Loss report usiku? Ni wapi umekwenda SAA 7 mchana ukakosa huduma au ilikuwa Jumapili?
Mkuu kuna changamoto sana hasa baada ya utaratibu wa laini za simu kuanza kuchukulia loss report kuna foleni sana,unakuta ikifika SAA saba wanakuambia njoo kesho.

Kitambulisho ni kitu nyeti kinaweza kikatumika na watu wabaya vibaya,kwa hiyo MTU anapokuja kutoa taarifa ya kupotelewa vitu apewe loss report bila kujali muda,

Nashauri Askari wetu wanapomuona RAIA kituoni wamuone ni mteja wasione dili,kwani ukifika body language yao inaonyesha kama umewapelekea dili badala ya kuwa umeenda kuhitaji msaada they need to change.
 
Utaratibu wa loss report umebadilika, siku hz unaweza ijaza ht usiku wa manane kupitia simu yako, www.lormis.tpf.tz baada ya hapo unakwenda andikisha control no ya fomu uliyojaza ktk kituo husika cha polisi mf. Kwa Dar kuna Chang'ombe, Msimbazi nk. Itathibitishwa na polisi nawe ukaiprint popote na kuipeleka sehem husika. Wakat wa kuijaza unapaswa uwe na kitambulisho cha Taifa au mpiga Kura, ingawa cha taifa kinasisitizwa zaidi. Nawasilisha.
 
Unataka ulachukue Loss report usiku? Ni wapi umekwenda SAA 7 mchana ukakosa huduma au ilikuwa Jumapili?
Chief nadhani hujui lolote kuhusu hili au wewe ni mmoja wa hao polisi. Njaa hawa wanadai mwisho SAA 6 na nusu mchana. Pia waidadi maalumu ya ripoti za kutoa kwa Siku.
 
Mkuu kuna changamoto sana hasa baada ya utaratibu wa laini za simu kuanza kuchukulia loss report kuna foleni sana,unakuta ikifika SAA saba wanakuambia njoo kesho.

Kitambulisho ni kitu nyeti kinaweza kikatumika na watu wabaya vibaya,kwa hiyo MTU anapokuja kutoa taarifa ya kupotelewa vitu apewe loss report bila kujali muda,

Nashauri Askari wetu wanapomuona RAIA kituoni wamuone ni mteja wasione dili,kwani ukifika body language yao inaonyesha kama umewapelekea dili badala ya kuwa umeenda kuhitaji msaada they need to change.
Unamajungu! kila ofisi inautaratibu wake huwezi ukawapangia utaratibu unaoutaka wewe,nikituo gani Cha polisi ambako ulienda kuchukua loss report kwa muda uliopangwa na haukuhudumiwa,acha majungu yako fuata taratibu.
 
Chief nadhani hujui lolote kuhusu hili au wewe ni mmoja wa hao polisi. Njaa hawa wanadai mwisho SAA 6 na nusu mchana. Pia waidadi maalumu ya ripoti za kutoa kwa Siku.
Nimeomba jina la kituo sipewi, mimi ni mwandishi nitakwenda nao hata kama ni Tunduru.
 
Mimi nikujibu bila hata Sirro kukujibu. Mwisho ni saa 6 mchana kwa sababu maduhuli yanayokusanywa yanatakiwa kuwasilishwa benki kila siku muda huo
 
Mimi nikujibu bila hata Sirro kukujibu. Mwisho ni saa 6 mchana kwa sababu maduhuli yanayokusanywa yanatakiwa kuwasilishwa benki kila siku muda huo
Na huduma ya hospial za serikali zinazofanya kazi saa 9 zingine saa 12 na zingine saa 24 ambako wanakusanya pia hizo fedha za Serikali nao kupeleka bank mwisho saa ngapi?
 
Unataka ulachukue Loss report usiku? Ni wapi umekwenda SAA 7 mchana ukakosa huduma au ilikuwa Jumapili?
Soma mada...nimesema saa 12 loss report Kama Kuna uwezekazo basi itolewe na siyo 24 hrs
 
Na huduma ya hospial za serikali zinazofanya kazi saa 9 zingine saa 12 na zingine saa 24 ambako wanakusanya pia hizo fedha za Serikali nao kupeleka bank mwisho saa ngapi?

Kwa utaratibu wa polisi hawajawa na mpango wa kuweka mhasibu wa zamu kukidhi hilo takwa la saa 24, hadi hapo takwa hilo litakapozingatiwa, kwa sasa tuendelee kutumia na kufuata utaratibu uliopo.
 
Kwa utaratibu wa polisi hawajawa na mpango wa kuweka mhasibu wa zamu kukidhi hilo takwa la saa 24, hadi hapo takwa hilo litakapozingatiwa, kwa sasa tuendelee kutumia na kufuata utaratibu uliopo.
Nakupata vizuri Kamanda...basi wajitahidi mpaka saa 9:30 kuliko saa 7 mchana.na kumbuka hapo huwa wameanza kazi za kutoa huduma kwa raia saa 3 asubuhi. Kwahiyo Loss Report imepewa almost saa 4 tu za kutolewa.
 
Back
Top Bottom