Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 6,995
Huyo IGP kashindwa kulinda mali zake, kulinda wananchi wake ndio ataweza? Ndio maaana kila siku nchi yetu haiishi matukio ya ujambazi, inawezekana na yeye ni mmoja wapo maana haingii akilini!!!!!!