Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Kwa wale wasoma vitabu vya dini mnamkumbuka ibrahim
mnajua alitaka kumfanya nini mwanae issaka...mnajua nini kilitokea
basi yawezekana ndugu una matatizo mengi sana...yawezekana unamtikisiko wa ridandas ofisini mwenu ufanyi kazi kwa amani kabisa...yawezekana uko na mtitkisiko wa ndoa.....kaa tayari kupokea malaika aliemjia ibrahmu na kumwokoa isiaka....yuo karibu na wewe muda wowote anakuja kwako kukondolea matatizo uliyonayo
Nwatakia
IDDI NJEMA
mnajua alitaka kumfanya nini mwanae issaka...mnajua nini kilitokea
basi yawezekana ndugu una matatizo mengi sana...yawezekana unamtikisiko wa ridandas ofisini mwenu ufanyi kazi kwa amani kabisa...yawezekana uko na mtitkisiko wa ndoa.....kaa tayari kupokea malaika aliemjia ibrahmu na kumwokoa isiaka....yuo karibu na wewe muda wowote anakuja kwako kukondolea matatizo uliyonayo
Nwatakia
IDDI NJEMA