Idadi ya Watalii Wanaoshuka "KIA" Yazidi Kuongezeka

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Idadi ya wageni wanaoshuka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), imeongezeka kutoka 300 hadi kufikia 2000. Ongezeko hilo limechangiwa na Filamu ya The Royal Tour iliyoigizwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan.

Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uendeshaji wa Kiwanja cha Ndege cha KIA (KADCO).

Christina Mwakatobe, wakati wa hafla ya kuwapokea watalii 54 kutoka nchini Ugiriki waliofika kwa mara ya kwanza.

Alisema idadi ya watali imeendelea kuongezeka kwa kasi kutoka watalii 780.000 mwaka 2019 kabla ya UVIKO 19 hadi 927.000 mwaka wa fedha 2022/2023 ikiwa ni ongezeko la asilimia 42.

Alisema: "Sasa hivi uwanja huu tunashuhudia makundi makubwa va watalii, kwa siku moja hadi watali 2,000 jambo linaloonyesha matokeo chanya ya kutangaza vyema utalii nje kutokana na Filamu ya The Royal Tour"

Aidha alisema kuna mashirika va ndege yameongeza idadi ya miruko sambamba na uwapo wa ndege za watali binafsi wanaokuja kutembelea vivutio.

Wakala wa utalii ambaye ameleta watalii hao kutoka Ugiriki, Manasse Kidman, alisema watalii hao watakaa kwa muda wa siku tatu na wanatarajia kwenda maeneo mbalimbali ikiwamo Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Mmoja wa watalii hao, Christos Gianakopoloulos, alisema matarajio yake ni kuona wanyama wakuu watano ambao aliambiwa Tanzania ni rahisi kuwaona kuliko nchi nyingine yeyote.​
 
Idadi ya wageni wanaoshuka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), imeongezeka kutoka 300 hadi kufikia 2000. Ongezeko hilo limechangiwa na Filamu ya The Royal Tour iliyoigizwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan.

Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uendeshaji wa Kiwanja cha Ndege cha KIA (KADCO)
Christina Mwakatobe, wakati wa hafla ya kuwapokea watalii 54 kutoka nchini Ugiriki waliofika kwa mara ya kwanza.
Alisema idadi ya watali imeendelea kuongezeka kwa kasi kutoka watalii 780.000 mwaka 2019 kabla ya UVIKO 19 hadi 927.000 mwaka wa fedha 2022/2023 ikiwa ni ongezeko la asilimia 42.

Alisema: "Sasa hivi uwanja huu tunashuhudia makundi makubwa va watalii, kwa siku moja hadi watali 2,000 jambo linaloonyesha matokeo chanya ya kutangaza vyema utalii nje kutokana na Filamu ya The Royal Tour"

Aidha alisema kuna mashirika va ndege yameongeza idadi ya miruko sambamba na uwapo wa ndege za watali binafsi wanaokuja kutembelea vivutio.

Wakala wa utalii ambaye ameleta watalii hao kutoka Ugiriki, Manasse Kidman, alisema watalii hao watakaa kwa muda wa siku tatu na wanatarajia kwenda maeneo mbalimbali ikiwamo Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Mmoja wa watalii hao, Christos Gianakopoloulos, alisema matarajio yake ni kuona wanyama wakuu watano ambao aliambiwa Tanzania ni rahisi kuwaona kuliko nchi nyingine yeyote.​

Hovyo kabisa
 
Idadi ya wageni wanaoshuka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), imeongezeka kutoka 300 hadi kufikia 2000. Ongezeko hilo limechangiwa na Filamu ya The Royal Tour iliyoigizwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan.

Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uendeshaji wa Kiwanja cha Ndege cha KIA (KADCO)
Christina Mwakatobe, wakati wa hafla ya kuwapokea watalii 54 kutoka nchini Ugiriki waliofika kwa mara ya kwanza.
Alisema idadi ya watali imeendelea kuongezeka kwa kasi kutoka watalii 780.000 mwaka 2019 kabla ya UVIKO 19 hadi 927.000 mwaka wa fedha 2022/2023 ikiwa ni ongezeko la asilimia 42.

Alisema: "Sasa hivi uwanja huu tunashuhudia makundi makubwa va watalii, kwa siku moja hadi watali 2,000 jambo linaloonyesha matokeo chanya ya kutangaza vyema utalii nje kutokana na Filamu ya The Royal Tour"

Aidha alisema kuna mashirika va ndege yameongeza idadi ya miruko sambamba na uwapo wa ndege za watali binafsi wanaokuja kutembelea vivutio.

Wakala wa utalii ambaye ameleta watalii hao kutoka Ugiriki, Manasse Kidman, alisema watalii hao watakaa kwa muda wa siku tatu na wanatarajia kwenda maeneo mbalimbali ikiwamo Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Mmoja wa watalii hao, Christos Gianakopoloulos, alisema matarajio yake ni kuona wanyama wakuu watano ambao aliambiwa Tanzania ni rahisi kuwaona kuliko nchi nyingine yeyote.​
Weka ata kapichq katika hapo jamaa wengine kitambo sana hatujaenda on(boma ng'ombe,mbuguni)
 
Idadi ya wageni wanaoshuka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), imeongezeka kutoka 300 hadi kufikia 2000. Ongezeko hilo limechangiwa na Filamu ya The Royal Tour iliyoigizwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan.

Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uendeshaji wa Kiwanja cha Ndege cha KIA (KADCO).

Christina Mwakatobe, wakati wa hafla ya kuwapokea watalii 54 kutoka nchini Ugiriki waliofika kwa mara ya kwanza.

Alisema idadi ya watali imeendelea kuongezeka kwa kasi kutoka watalii 780.000 mwaka 2019 kabla ya UVIKO 19 hadi 927.000 mwaka wa fedha 2022/2023 ikiwa ni ongezeko la asilimia 42.

Alisema: "Sasa hivi uwanja huu tunashuhudia makundi makubwa va watalii, kwa siku moja hadi watali 2,000 jambo linaloonyesha matokeo chanya ya kutangaza vyema utalii nje kutokana na Filamu ya The Royal Tour"

Aidha alisema kuna mashirika va ndege yameongeza idadi ya miruko sambamba na uwapo wa ndege za watali binafsi wanaokuja kutembelea vivutio.

Wakala wa utalii ambaye ameleta watalii hao kutoka Ugiriki, Manasse Kidman, alisema watalii hao watakaa kwa muda wa siku tatu na wanatarajia kwenda maeneo mbalimbali ikiwamo Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Mmoja wa watalii hao, Christos Gianakopoloulos, alisema matarajio yake ni kuona wanyama wakuu watano ambao aliambiwa Tanzania ni rahisi kuwaona kuliko nchi nyingine yeyote.​
Halafu fedha za kigeni zinaadimika ,pumbavu kwerikweri wewe
 
Watalii wameongezeka halafu dolla hakuna ama wanalipa kwa Zambian Kwacha?

Tanzania imekua na watalii 1.6M kabla yaCorona, hao laki 9 bado wako chini sanaa, ni sawa na takwimu za mwaka 2005ndio tulikua tunapata watalii laki 6, 7 ama 8.

Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu za royal tour. Hakuna kitu kama hicho.
 
Watalii wameongezeka halafu dolla hakuna ama wanalipa kwa Zambian Kwacha?

Tanzania imekua na watalii 1.6M kabla yaCorona, hao laki 9 bado wako chini sanaa, ni sawa na takwimu za mwaka 2005ndio tulikua tunapata watalii laki 6, 7 ama 8.

Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu za royal tour. Hakuna kitu kama hicho.
Wapiga debe wengi wa Rais, akili ni kibaba. Wanasema uwongo ambao unatia hata kinyaa. Wanafikiri wote wana kiwango kidogo cha akili kama cha kwao.
 
Yet na kuongezeka kwa Mapato yote hayo, Bado tunakopa Tozo zinaongezeka Mafuta wameongeza Kodi, Nyumba wameongeza Kodi !!!!

Kwahio mtataka kusema nini Hayo mapato yote yanakwenda wapi ? Au kugharamia safari za kwenda kuomba Mikopo ?
 
huoni hata aibu dola zimetoweka halafu unakuja na hadithi za watalii kuongezeka.
MAPINGA PINGA HAWAKOSEKANI,LAZIMA WAPINGE,KILA JEMA, *UTALII HUWA UNACHANGIA DOLLAR S KWA KIASI GANI?,
*MAUZO YA NAFAKA NA MENGINEYO HUCHANGIA ASILIMIA NGAPI?
*MADINI,DHAHABU SAMAKI NAO HUCHANGIA KIASI GANI?
->upande upi umedorora,na upi umechangamka?
 
Idadi ya wageni wanaoshuka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), imeongezeka kutoka 300 hadi kufikia 2000. Ongezeko hilo limechangiwa na Filamu ya The Royal Tour iliyoigizwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan.

Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uendeshaji wa Kiwanja cha Ndege cha KIA (KADCO).

Christina Mwakatobe, wakati wa hafla ya kuwapokea watalii 54 kutoka nchini Ugiriki waliofika kwa mara ya kwanza.

Alisema idadi ya watali imeendelea kuongezeka kwa kasi kutoka watalii 780.000 mwaka 2019 kabla ya UVIKO 19 hadi 927.000 mwaka wa fedha 2022/2023 ikiwa ni ongezeko la asilimia 42.

Alisema: "Sasa hivi uwanja huu tunashuhudia makundi makubwa va watalii, kwa siku moja hadi watali 2,000 jambo linaloonyesha matokeo chanya ya kutangaza vyema utalii nje kutokana na Filamu ya The Royal Tour"

Aidha alisema kuna mashirika va ndege yameongeza idadi ya miruko sambamba na uwapo wa ndege za watali binafsi wanaokuja kutembelea vivutio.

Wakala wa utalii ambaye ameleta watalii hao kutoka Ugiriki, Manasse Kidman, alisema watalii hao watakaa kwa muda wa siku tatu na wanatarajia kwenda maeneo mbalimbali ikiwamo Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Mmoja wa watalii hao, Christos Gianakopoloulos, alisema matarajio yake ni kuona wanyama wakuu watano ambao aliambiwa Tanzania ni rahisi kuwaona kuliko nchi nyingine yeyote.​
Of course sera ya kuifungua Nchi imeanza kulipa Sasa,ni matumaini yetu kwamba Hadi disemba 2023 tutapata Watalii/Wageni mil.2 watakoitembelea Tanzania Kwa kutua Kwa njia zote za usafiri.

Hata hivyo safari ya kufikisha Watalii mil.5 by 2025 ni uongo ,Bado saaaana.
 
Back
Top Bottom