Hahaha! TF mwondoe keshawekwa kinyumba na jimama la Tanga..
Mhhhh........lol
Hahaha! TF mwondoe keshawekwa kinyumba na jimama la Tanga..
Aongeze na Misale ya Waumini na shajala ndo muda wake wakutoka sasa
I realy miss you Mr. Rocky, hakyanani shahidi angu DA..
Umemshitukia mapema sana siku hizi ni kujipromo mwenyewe tu hakuna kusubiri
Ngoja nikuanzishie threa "I miss you Fidel80"
Hahaha. Dena akija hapa akisema chochote usimsikilize...I miss you Sweetlady
Wou promo hiyo na nitanenepa mwaka huu
Yaani SL nakumiss mbaya
Nani kakupa ruhusa ya kumjibia PJ?
Hahaha. Dena akija hapa akisema chochote usimsikilize...
Samahani, mie hujanimiss?Bravo to you! waache wasubiri waporomewe!!
Hahaha! Ndio mana nakupendaga pia...hakikisha hasomi na hii pia..hatasoma kitu maana maandishi tumefunika kwa karatasi nyeusi
mmmhhh kweli wewe tete a tete..
Hahaha! Ndio mana nakupendaga pia...hakikisha hasomi na hii pia..
Somebody has dialled my number and told me that someone somewhere somehow is missing me!
Tete a tete mwaya, nipo best, achana na wachakachuzi wa sredi yako. Unakaribishwa sn Arusha. Usije hata na shiing mia, kila ki2 kitakuwa taken care of huku2!
Vp ile namba tulopeana ilifia kwenye mchina nini, maana haupatikani nayo tena.!
Somebody has dialled my number and told me that someone somewhere somehow is missing me!
Tete a tete mwaya, nipo best, achana na wachakachuzi wa sredi yako. Unakaribishwa sn Arusha. Usije hata na shiing mia, kila ki2 kitakuwa taken care of huku2!
Vp ile namba tulopeana ilifia kwenye mchina nini, maana haupatikani nayo tena.!
Mwaaaaaa!Hii nimeshaipaka wino mweupe akija ataona karatasi nyeupe tuu haina maandishi
Karibu lakn kwa sasa tuko busy na mipango na mikakati ya mapinduzi,......karibu sana
Mwaaaaaa!
Hiyo paka wino wa blue manake mama tuli ataua mtu!..lol
Daaah. Bro una mkwara...lol.Somebody has dialled my number and told me that someone somewhere somehow is missing me!
Tete a tete mwaya, nipo best, achana na wachakachuzi wa sredi yako. Unakaribishwa sn Arusha. Usije hata na shiing mia, kila ki2 kitakuwa taken care of huku2!
Vp ile namba tulopeana ilifia kwenye mchina nini, maana haupatikani nayo tena.!
Mhhh ngoja nisepe!!