I really Miss you PJ ( Pakajimmy)

Somebody has dialled my number and told me that someone somewhere somehow is missing me!
Tete a tete mwaya, nipo best, achana na wachakachuzi wa sredi yako. Unakaribishwa sn Arusha. Usije hata na shiing mia, kila ki2 kitakuwa taken care of huku2!
Vp ile namba tulopeana ilifia kwenye mchina nini, maana haupatikani nayo tena.!
 
Somebody has dialled my number and told me that someone somewhere somehow is missing me!
Tete a tete mwaya, nipo best, achana na wachakachuzi wa sredi yako. Unakaribishwa sn Arusha. Usije hata na shiing mia, kila ki2 kitakuwa taken care of huku2!
Vp ile namba tulopeana ilifia kwenye mchina nini, maana haupatikani nayo tena.!

Usiwe na wasiwasi PJ wangu ile namba kweli mchina alifanya mambo ila usikonde wangu nitatakupm namba nyingine lakin umekuwa mno kimya do nini mimi tuu ndio nikumis wewe je? by the way watu hapa walivyonicharukia lol kumbe kweli nimeamini wivu ni kitu mbaya sana! Pj really I miss you....
 
Somebody has dialled my number and told me that someone somewhere somehow is missing me!
Tete a tete mwaya, nipo best, achana na wachakachuzi wa sredi yako. Unakaribishwa sn Arusha. Usije hata na shiing mia, kila ki2 kitakuwa taken care of huku2!
Vp ile namba tulopeana ilifia kwenye mchina nini, maana haupatikani nayo tena.!

Tehe teh tehe kwa kwa kwa kwa Lol Lovely....you fulfill my day!!!
 
Somebody has dialled my number and told me that someone somewhere somehow is missing me!
Tete a tete mwaya, nipo best, achana na wachakachuzi wa sredi yako. Unakaribishwa sn Arusha. Usije hata na shiing mia, kila ki2 kitakuwa taken care of huku2!
Vp ile namba tulopeana ilifia kwenye mchina nini, maana haupatikani nayo tena.!
Daaah. Bro una mkwara...lol.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom