HVS

mzurisana

Senior Member
Jun 23, 2011
133
27
Nimekuwa na kijipu kwa juu kwny sehemu za siri na nikaanza kutokewa na utando mweupe mweupe kwny njia kbs ya kwenda ukeni na uchafu ukawa unatoka ingawa haunuki, nikaambiwa nipime HVS (high vaginal swab)

Matokeo yakawa net pre: pus cells +, epithylial cells ++, T.V -nil, yeast cells -nil, gram stain: no gram negative seen, dawa nilizopewa ni conaz: norfloxacin & tinidazole tablets1x2x5, erythronyicine 2x3x5, na fluconazole 1x1x3 (am not sure with the spellings)

Nimemaliza dose jana asubh na nilikuwa nina dalili za kupona, ila leo ucku nimejiangalia nimekuta kama tatizo limeongezeka, ule utando mweupe uliotanda kwy mashavu (karibia na sehemu ya kuingilia ukeni) umezidi , yaan shape yote meharibika... naomba mnsaidie dawa zingine za kutumia kabla sijaenda tena kumuona daktari, ni hosptial ya maria stopes ndio nilitibiwa.
 
Pole sana, nimeguswa sana na tatizo lako na nawaomba wana JF mnaofahamu anapopatikata mtaalam wa magonjwa haya msaidieni mwenzetu
 
dah,pole sana! Tulia apa apa JF utapata ushauri wa kutatua tatizo lako.
 
Pole mrembo,usihofu utapona soon, usisahau kumuomba mungu ili akuwezeshe upate moyo wa ujasiri na uvumilivu ktk kipind hiki cha mpito.
 
kwa kweli nakosa amani kabisa, nikipata dawa usiku huu asbh naamka kununua naogopa nitaharibika zaidi shape ya uke ikawa haiko sawa,
 
Jaribu kuonana na madaktari bingwa wa magonjwa ya kinamama natumaini watakusaidia kulingana na hali yako ilivyo pamoja na matokeo ya vipimo. Pole sana mtoto mzuri.
 
nimekuwa na kijipu kwa juu kwny sehemu za siri na nikaanza kutokewa na utando mweupe mweupe kwny njia kbs ya kwenda ukeni na uchafu ukawa unatoka ingawa haunuki, nikaambiwa nipime HVS (high vaginal swab) matokeo yakawa net pre: pus cells +, epithylial cells ++, T.V -nil, yeast cells -nil, gram stain: no gram negative seen, dawa nilizopewa ni conaz: norfloxacin & tinidazole tablets1x2x5, erythronyicine 2x3x5, na fluconazole 1x1x3 (am not sure with the spellings) nimemaliza dose jana asubh na nilikuwa nina dalili za kupona, ila leo ucku nimejiangalia nimekuta kama tatizo limeongezeka, ule utando mweupe uliotanda kwy mashavu (karibia na sehemu ya kuingilia ukeni) umezidi , yaan shape yote meharibika... naomba mnsaidie dawa zingine za kutumia kabla sijaenda tena kumuona daktari, ni hosptial ya maria stopes ndio nilitibiwa

HVS ndio kipimo pekee ulichofanya?! Nimeshindwa kuelewa majibu yake (HVS) yanaonyesha huna bacterial wala fungal infection, lakini umepewa very strong antibitiocs (combination) na antifungal...kwa kweli hukupaswa kutibiwa kwa dawa hizo unless..kuna kipimo kingine zaidi ya HVS kilitoa majibu tofauti.

Pia nachelea kuamini majibu ya hicho kipimo chenyewe...under no circumstance, vagina can not be sterile! Yaani ufanye HVS hata yeast (candida albicans ambao ni normal flora huko) wasiote? Its is highly unlikely!

Nadhani kuna umhuhimu wa kwenda kwenye hospitali uonwe na Gynacologist na yenye maabara ya kuaminikia (Muhimbili, Aga Khan, Hindu Mandal....?TMJ), japo hizo dawa ulizokunywa tayari zinaweza kika'interfere' majibu pia.
 
HVS ndio kipimo pekee ulichofanya?! Nimeshindwa kuelewa majibu yake (HVS) yanaonyesha huna bacterial wala fungal infection, lakini umepewa very strong antibitiocs (combination) na antifungal...kwa kweli hukupaswa kutibiwa kwa dawa hizo unless..kuna kipimo kingine zaidi ya HVS kilitoa majibu tofauti.

Pia nachelea kuamini majibu ya hicho kipimo chenyewe...under no circumstance, vagina can not be sterile! Yaani ufanye HVS hata yeast (candida albicans ambao ni normal flora huko) wasiote? Its is highly unlikely!

Nadhani kuna umhuhimu wa kwenda kwenye hospitali uonwe na Gynacologist na yenye maabara ya kuaminikia (Muhimbili, Aga Khan, Hindu Mandal....?TMJ), japo hizo dawa ulizokunywa tayari zinaweza kika'interfere' majibu pia.
dah kweli riwa umeongea meku...anaonekana hana infection then wamempa dawa...hawa madaktari wetu wa marie stopes hawa...haya.
 
HVS ndio kipimo pekee ulichofanya?! Nimeshindwa kuelewa majibu yake (HVS) yanaonyesha huna bacterial wala fungal infection, lakini umepewa very strong antibitiocs (combination) na antifungal...kwa kweli hukupaswa kutibiwa kwa dawa hizo unless..kuna kipimo kingine zaidi ya HVS kilitoa majibu tofauti.

Pia nachelea kuamini majibu ya hicho kipimo chenyewe...under no circumstance, vagina can not be sterile! Yaani ufanye HVS hata yeast (candida albicans ambao ni normal flora huko) wasiote? Its is highly unlikely!

Nadhani kuna umhuhimu wa kwenda kwenye hospitali uonwe na Gynacologist na yenye maabara ya kuaminikia (Muhimbili, Aga Khan, Hindu Mandal....?TMJ), japo hizo dawa ulizokunywa tayari zinaweza kika'interfere' majibu pia.

nimeenda tena leo hospitali wameniangalia , wamenambia coz niliharibu dose, yaan cku ya 3 na ya 4 nilichakachua so kufanya hvyo kumeharibu dose, nimeandikiwa dawa zingine ambazo ni doxy tablets na wokadine ambazo ni za kuingiza ukeni, naomba mniruhusu nizitumie hizi then kila sklu nitakua najiangalia kama dalili zinaendelea au vp
 
HVS ndio kipimo pekee ulichofanya?! Nimeshindwa kuelewa majibu yake (HVS) yanaonyesha huna bacterial wala fungal infection, lakini umepewa very strong antibitiocs (combination) na antifungal...kwa kweli hukupaswa kutibiwa kwa dawa hizo unless..kuna kipimo kingine zaidi ya HVS kilitoa majibu tofauti.

Pia nachelea kuamini majibu ya hicho kipimo chenyewe...under no circumstance, vagina can not be sterile! Yaani ufanye HVS hata yeast (candida albicans ambao ni normal flora huko) wasiote? Its is highly unlikely!

Nadhani kuna umhuhimu wa kwenda kwenye hospitali uonwe na Gynacologist na yenye maabara ya kuaminikia (Muhimbili, Aga Khan, Hindu Mandal....?TMJ), japo hizo dawa ulizokunywa tayari zinaweza kika'interfere' majibu pia.

yes , nimefanya kipimo cha hvs peke yake, ila nilivyoenda tena leo ameniingiza kidole kuangalia km nina uvimbe au maumivu yeyote kwa ndani, hapana, cna maumivu yeyote, inaonekana infenction ipo kwa nje
 
nimeenda tena leo hospitali wameniangalia , wamenambia coz niliharibu dose, yaan cku ya 3 na ya 4 nilichakachua so kufanya hvyo kumeharibu dose, nimeandikiwa dawa zingine ambazo ni doxy tablets na wokadine ambazo ni za kuingiza ukeni, naomba mniruhusu nizitumie hizi then kila sklu nitakua najiangalia kama dalili zinaendelea au vp

Daktari alipaswa kukupima kwa vidole ulipoenda mara ya kwanza kabla hata ya vipimo....again, kipimo cha HVS hakikuonyesha kuwa una bacterial infection na Doxycycline ni antibiotic nyingine ambayo inatibu bacteria. to make things worse...umepewa wokadine vaginal pessaries ambazo ni dis-infectant. kama umewahi kurefer post zangu kuhusu vaginal candidiasis nilishauri (inashauriwa kisayansi) usitumie dis-infectants ukeni, utaaharibu vaginal pH and make things worse kwani utaharibu ecosystem ya normal flora amabao wana faida ya kudiscourage growth ya bacteria na fungus wengine wenye madhara ukeni. So you have antibitics you dont need, and top of that, you have dis-infectant....is your Dr really a Gynacologist?!

See a gynacologist my sister...please! hata kama ni ghali, afya yako ije kwanza, usikimbie gharama ukafanywa mgonjwa wa majaribio!

NB: Ulipewa ushauri kuhusu majibu ya vipimo vyako, uliporudi tena kwa Dr, ulikuwa kwenye better posistion ya kudiscuss naye yale majibu upya kwani ameyatumia tena kukuongezea antibiotics...kwa nini sasa unaomba ushauri usioutumia?
 
Utando mweupe ukeni ambao hauna harufu si jambo la ajabu sana kwa kina mama, hii ni kutokana na maumbile yao yalivyo, ukeni kuna vijidudu(normal flora) ambavyo havina madhara kabisa viko hapo kurekebisha mazingira, kama kutakuwa na uharibifu wa mazingira hapo ukeni kwa namna yeyote ile, kwa mfano madawa (antibiotics) au mabadiriko ya hali ya hewa (joto) ambapo itapelekea vijidudu fulani vife (bacteria) ambavyo vilikuwa vinavilinda vijidudu vingine (fungus) visizidi na kushambulia kuta za uke, kwahiyo huyu daktari uchwara alikosea kumpa huyu dada ANTIBIOTICS ambazo nazo zimezidi kuongeza tatizo. Matatizo haya kwa kina mama upona yenyewe tu, kwa kuzingatia hygiene tu. Kama tatizo litaendelea mara nyingi uwa ni Fungus (Candida albicans) ambayo inatibika kwa Antifungal (Antifagal viginal pessarie) na si Antibacterial drugs wala disinfectant kama alivyofanya daktari huyu gamba.
 
Hawa madaktari ni wababaishaji, na usikute si graduate drs bali ni Clinical Officers (Medical Assistants) au Assistant Medical Officers. Wanachofanya kinaitwa Polypharmacy, yaani wanaandika dawa nyingi kwa kubahatisha, huenda mojawapo ika-hit the target. Dada wewe achana na dawa zao, nenda credible hospital ukaonane na Gynaecologist au specialist wa sexually transmitted infections (STIs). Specialists wa STIs wapo Muhimbili na ile clinic karibu na Central Police (Dar). From what you have said, from the HVS results and from failure to clear the problem after taking those very poerful anti-infection drugs, you do not have any infection in your vag***. The problem appears to be outside, most likely in the swelliing.

Pole sana. Ningekuwa Dar ningesema nitakusaidia.
 
nimeenda tena leo hospitali wameniangalia , wamenambia coz niliharibu dose, yaan cku ya 3 na ya 4 nilichakachua so kufanya hvyo kumeharibu dose, nimeandikiwa dawa zingine ambazo ni doxy tablets na wokadine ambazo ni za kuingiza ukeni, naomba mniruhusu nizitumie hizi then kila sklu nitakua najiangalia kama dalili zinaendelea au vp
I was about to suggest something lakini tayari unaonekana hauko serious, how come unakua na tatizo kama hilo halafu unachakachua dose??
 
Back
Top Bottom