Nimekuwa na kijipu kwa juu kwny sehemu za siri na nikaanza kutokewa na utando mweupe mweupe kwny njia kbs ya kwenda ukeni na uchafu ukawa unatoka ingawa haunuki, nikaambiwa nipime HVS (high vaginal swab)
Matokeo yakawa net pre: pus cells +, epithylial cells ++, T.V -nil, yeast cells -nil, gram stain: no gram negative seen, dawa nilizopewa ni conaz: norfloxacin & tinidazole tablets1x2x5, erythronyicine 2x3x5, na fluconazole 1x1x3 (am not sure with the spellings)
Nimemaliza dose jana asubh na nilikuwa nina dalili za kupona, ila leo ucku nimejiangalia nimekuta kama tatizo limeongezeka, ule utando mweupe uliotanda kwy mashavu (karibia na sehemu ya kuingilia ukeni) umezidi , yaan shape yote meharibika... naomba mnsaidie dawa zingine za kutumia kabla sijaenda tena kumuona daktari, ni hosptial ya maria stopes ndio nilitibiwa.
Matokeo yakawa net pre: pus cells +, epithylial cells ++, T.V -nil, yeast cells -nil, gram stain: no gram negative seen, dawa nilizopewa ni conaz: norfloxacin & tinidazole tablets1x2x5, erythronyicine 2x3x5, na fluconazole 1x1x3 (am not sure with the spellings)
Nimemaliza dose jana asubh na nilikuwa nina dalili za kupona, ila leo ucku nimejiangalia nimekuta kama tatizo limeongezeka, ule utando mweupe uliotanda kwy mashavu (karibia na sehemu ya kuingilia ukeni) umezidi , yaan shape yote meharibika... naomba mnsaidie dawa zingine za kutumia kabla sijaenda tena kumuona daktari, ni hosptial ya maria stopes ndio nilitibiwa.