Huyu ndiye Mwigulu Nchemba

Sophia Andrew

Senior Member
Sep 19, 2014
114
7
Baada ya kumalizika kwa Kamati kuu ya chama iliyoketi kwa siku mbili hapa Dodoma, Kamati kuu ilimpongeza mh Mwigulu Nchemba kwa jitihada zake za dhati katika kupambana na kuisaidia serikali hasa katika Kukusanya kodi toka bilion300 hadi bilion 800 kwa mwezi pia kwa kutatua kero nyingi za walimu Nchini.

Nikimnukuu kuhusu yeye kuwa rais anayependekezwa mh Mwigulu anasema
"CHAMA chetu ni chama cha utaratibu na mimi ndiye msimamizi mkuu ndani ya chama, kundi langu ni CCM, wana CCM wana matumaini makubwa na mimi ya kuwavusha katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu".

Mwigulu ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, na Mbunge wa Jimbo la Iramba Mashariki, Mwigulu Nchemba.

Katika kipindi kifupi tangu kuteuliwa kwake katika nafasi ya Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu ameonesha ni kwa kiasi gani alivyo na uwezo mkubwa katika uongozi na kusimamia ustawi wa nchi na watu wake.

Tumeweza kushuhudia hofu ya Mwigulu pale aliposimama bungeni katika Bunge Maalumu la Katiba kutoa tahadhari kuhusiana na fedha za walipa kodi.

Akiwa miongoni mwa viongozi tulionao nchini, aliweza kupatwa hofu ya fedha za walipa kodi kutumika ndivyo sivyo.

Hili si jambo la kupuuzia hata kidogo, bali ni jambo la kujivunia kuwa na kiongozi mwenye uthubutu katika kipindi hiki ambacho Watanzania wanasumbuliwa na misigino ya kisiasa.

Katika mchango wake alionesha hofu yake ya kuendelea na majadiliano kwa siku 84 na hatimaye kushindwa kupata theluthi mbili za Tanzania Bara na theluthi mbili za Tanzania Visiwani ili kupitisha Rasimu tayari kwa kupigiwa kura ya maoni na Watanzania.

Mwigulu alifikia hatua ya kumtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba afanye hesabu na kujiridhisha juu ya kupatikana kwa takwa hilo la Kikatiba.

Hii ilikuwa ni hofu kuu. Ni hofu iliyotoka rohoni, isiyokuwa na chembe ya shaka. Aliweza kuona dalili za kulazimisha visivyolazimishwa.

Hofu inayolenga kuponya fedha za walipakodi wa nchi hii zinazoweza kutafunwa kwa siku 84 bila ya kupelekewa Rasimu ya Katiba kuipigia kura.

Ni hofu ya wengi, wachambuzi na wachokonozi wa kisiasa waliiona kauli ya Mwigulu kama kuanza kushtuka kwa CCM na viongozi wake.

Mwenyekiti wa Bunge hilo hakuweza kuiona hofu ya Mwigulu, hakuufanyia kazi ushauri wa mjumbe wake, lakini naamini ya kuwa nafsi ya Mwigulu ilikuwa huru baada ya kutoa dukuduku lake.

Kutokana na wadhifa wake ndani ya chama na Serikali Mwigulu amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha anasimamia fedha za walipa kodi wa nchi hii zisitumike vibaya bali kwa maslahi ya wote.

Tumeshuhudia ni kwa kiasi gani amesimamia fedha zilizokuwa zikiibwa kupitia mishahara hewa na kutoa angalizo kuhusiana na fedha hizo.

Nchi inao viongozi wengi, lakini viongozi aina ya Mwigulu ni wa kuhesabu kama si kutafuta. Tunalo jukumu la pamoja kuhakikisha viongozi wetu wanatekeleza majukumu yao kama afanyavyo huyu ambaye ameonesha njia.

Tunalo jukumu kumhakikishia ya kuwa tunamuunga mkono katika utekelezaji wa majukumu yake na katika kulitumikia taifa letu na sio kumbeza kama ambavyo wengine wanafanya.

Pamoja na Mwigulu kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM amekuwa akitimiza majukumu yake ya Naibu Waziri wa Fedha bila ubaguzi jambo ambalo limekuwa adimu katika kipindi hili.

Tanzania yangu ya sasa inahitaji viongozi walio na utayari wa kuwatumikia wananchi wake, walio na uchungu na mali na raslimali za nchi na si vinginevyo.

"Mimi sio matokeo ya jitihada za kundi lolote kufika hapa nilipo, niligombea ubunge nikiwa sijulikani na kundi lolote na wala sikutengenezwa na kundi lolote.
Hata nilipokwenda kugombea sikuwa hata na baiskeli, pikipiki wala gari. Mimi sina kundi na wala sitokani na makundi yanayokinzana, sina kundi lolote ndani ya chama wala siegemei kundi lolote."

"Lililo jema ni kutokuwa na chuki wala ugomvi na wanaCCM wenzangu. Sina sababu na wala sioni faida ya kuingia kwenye makundi katika ngazi hii na muda huu." anasema.

Hii ni miongoni mwa kauli zilizowahi kutolewa na Mwigulu, kauli inayopashwa kutolewa na kiongozi anayesimamia kile anachokiamini katika utekelezaji wa majukumu yake bila kuegemea upande wowote ule.

Tanzania ya kizazi hiki inahitaji viongozi wenye maono, wenye uthubutu wa kusema hapana sasa imetosha, viongozi walio na uchungu na ndugu zao kutokana na maisha wanayoyaishi.

Mwigulu Nchemba ni miongoni mwa viongozi walioonesha msimamo wao katika kutetea kile wanachoamini kuwa ni kwa ajili ya Watanzania wote na kwa faida ya wote.

Ni vyema tukasimama na kumuunga mkono yeye pamoja na viongozi watakao kuwa tayari kutimiza wajibu wao kama afanyavyo Mwigulu.

Tunalo jukumu la kusimama pamoja na Mwigulu kuhakikisha ya kuwa yale anayoyabainisha anayatetea bila hofu kwa faida yetu sote.

CHANZO: DIRA YA MTANZANIA
 
Mwigulu Nchemba ndio Rais 2015 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania maana ni Mwadilifu, Mzalendo na Mwajibikaji katika Uongozi.
 
Mwigulu Nchemba:Kitu ambacho watanzania wajue ni kuwa wanahitaji kiongozi mwenye mtazamo mpya na anayeamini kuwa mabadiliko ni vitendo na si kiongozi anayehitaji kutimiza ndoto zake za kuwa rais tu.Tunaimani na Mwigulu Nchemba.
 
Mwigulu Nchemba ndio Rais 2015 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania maana ni Mwadilifu, Mzalendo na Mwajibikaji katika Uongozi.

Ni nani kakuruhusu uwe msemaji wangu?

Ama ni nani amekuruhusu kuwasemea watanzania?

Na ni nani amekupa huo umungu wa kupanga yajayo?

Raisi wangu ni EL baaaaasi usithubutu kunisemea tena
 
Tucta sees ``hidden`` sources of revenue




By Gadiosa Lamtey



8th May 2010











Mgaya(4).jpg

Tucta Acting Secretary General Nicholas Mgaya.



The Trade Union Congress of Tanzania (Tucta) has identified areas where it says the government could raise extra revenue and have the capacity to pay workers the minimum wage of 315,000/- they demand.

Tucta Acting Secretary General Nicholas Mgaya told journalists in Dar es Salaam yesterday, ahead of a scheduled resumption of negotiations between the trade union’s apex body and the government, that it was possible to pay the workers the proposed minimum wage of 315,000/- “by plugging loopholes commonly resulting in unnecessary loss of revenue”.
Mgaya made the remarks in the wake of President Jakaya Kikwete’s monthly address to the nation on Monday through Dar es Salaam elders.

The president declared that the government was not in a position to pay the 315,000/- proposed by trade unions because, if it did, it would be denying the majority of Tanzanians a range of basic needs.

Mgaya quoted the Controller and Auditor General as having reported that the government lost over 50bn/- during the year ending June 2009 through a string of loopholes, calling that a probable source of funding for the proposed rise in workers’ wages.

He argued that the government could also safely prune the allowances going into the pockets of top government officials and transform the amount “saved” into workers’ salaries.

He cited the 2009/10 financial year budget in which he said the government set aside 59 per cent of the entire salary budget as allowances for top government officials.

“The government has every reason to treat the problem of workers’ meagre salaries with priority instead of considering the allowances paid to a few top government workers more favourably,” he observed.

The Tucta official advised the government to minimise tax exemptions also as part of a strategy to help it end up with more revenue”.
He said that the 2007/08 budget alone saw tax exemptions reach 30 per cent of the total revenue collections or 3.5 per cent of the GDP.

He also called on the government to take deliberate measures to control tax evasions, saying the notorious practice had in the recent past denied the country an annual 52bn/- on average.

The government could also reduce the income gap between the highest paid wage earners and the lowest paid ones so that both could benefit from the national cake equitably, he added.

“All these measures are possible if well supervised and implemented. We know that our government is capable of paying the minimum wage demanded by the workers without any other services being adversely affected,” Mgaya argued further.

He said Tucta leaders had no hidden political or other agenda “other than protecting and championing the rights of workers through their unions as guided by their constitution”.

“Although trade union members have a right to be affiliated to political parties, they do not associate with any particular party when it comes to defending their rights,” he noted.

President Kikwete said in his Monday address that the minimum wage demanded by Tucta was unreasonably high, considering the country’s meagre sources of revenue, and there was no way the government could meet the demand even in the long term.

“Even if workers were to strike for eight years non-stop, their demands for the new minimum wage proposed would not be granted because the government revenue is well below what they are demanding,” he elaborated.

The president said if the government granted the trade unions’ demands, workers alone would eat up a hefty 6.8trn/- from its kitty.

He added that the government currently has a 350,000-strong workforce and paying them the 6.8trn/- would mean having to seek a loan amounting to 1.1trn/-.
He said the government could not grant the workers’ wage rise demands “because there are numerous other unsolved problems facing the people, among them those relating to access to electricity, water, education, health and transport and communication”.

“I just cannot be dragged into hiking salaries as demanded by workers amid suffering by the people simply because I want workers to vote for me (come the October General Election)... The agreement between the government and the workers (Tucta) should not adversely affect the lives of other people,” stated President Kikwete.

Tucta shelved its plans for a prolonged countrywide workers’ strike that was to have taken place beginning pending negotiations scheduled to resume today.
The workers are demanding, among other things, a hike in wages, a reduction in income tax and improved retirement benefits.




SOURCE: THE GUARDIAN

Nani amekuruhusu kuwa msemaji wa wsTz???
 

Baada ya kumalizika kwa Kamati kuu ya chama iliyoketi kwa siku mbili hapa Dodoma,Kamati kuu ilimpongeza mh Mwigulu Nchemba kwa jitihada zake za dhati katika kupambana na kuisaidia serikali hasa katika Kukusanya kodi toka bilion300 hadi bilion 800 kwa mwezi pia kwa kutatua kero nyingi za walimu Nchini.

Nikimnukuu kuhusu yeye kuwa rais anayependekezwa mh Mwigulu anasema
“CHAMA chetu ni chama cha utaratibu na mimi ndiye msimamizi mkuu ndani ya chama, kundi langu ni CCM, wana CCM wana matumaini makubwa na mimi ya kuwavusha katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu”.

Mwigulu ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, na Mbunge wa Jimbo la Iramba Mashariki, Mwigulu Nchemba.

Katika kipindi kifupi tangu kuteuliwa kwake katika nafasi ya Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu ameonesha ni kwa kiasi gani alivyo na uwezo mkubwa katika uongozi na kusimamia ustawi wa nchi na watu wake.

Tumeweza kushuhudia hofu ya Mwigulu pale aliposimama bungeni katika Bunge Maalumu la Katiba kutoa tahadhari kuhusiana na fedha za walipa kodi.
Akiwa miongoni mwa viongozi tulionao nchini, aliweza kupatwa hofu ya fedha za walipa kodi kutumika ndivyo sivyo.

Hili si jambo la kupuuzia hata kidogo, bali ni jambo la kujivunia kuwa na kiongozi mwenye uthubutu katika kipindi hiki ambacho Watanzania wanasumbuliwa na misigino ya kisiasa.

Katika mchango wake alionesha hofu yake ya kuendelea na majadiliano kwa siku 84 na hatimaye kushindwa kupata theluthi mbili za Tanzania Bara na theluthi mbili za Tanzania Visiwani ili kupitisha Rasimu tayari kwa kupigiwa kura ya maoni na Watanzania.
Mwigulu alifikia hatua ya kumtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba afanye hesabu na kujiridhisha juu ya kupatikana kwa takwa hilo la Kikatiba.

Hii ilikuwa ni hofu kuu. Ni hofu iliyotoka rohoni, isiyokuwa na chembe ya shaka. Aliweza kuona dalili za kulazimisha visivyolazimishwa.

Hofu inayolenga kuponya fedha za walipakodi wa nchi hii zinazoweza kutafunwa kwa siku 84 bila ya kupelekewa Rasimu ya Katiba kuipigia kura.

Ni hofu ya wengi, wachambuzi na wachokonozi wa kisiasa waliiona kauli ya Mwigulu kama kuanza kushtuka kwa CCM na viongozi wake.

Mwenyekiti wa Bunge hilo hakuweza kuiona hofu ya Mwigulu, hakuufanyia kazi ushauri wa mjumbe wake, lakini naamini ya kuwa nafsi ya Mwigulu ilikuwa huru baada ya kutoa dukuduku lake.

Kutokana na wadhifa wake ndani ya chama na Serikali Mwigulu amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha anasimamia fedha za walipa kodi wa nchi hii zisitumike vibaya bali kwa maslahi ya wote.

Tumeshuhudia ni kwa kiasi gani amesimamia fedha zilizokuwa zikiibwa kupitia mishahara hewa na kutoa angalizo kuhusiana na fedha hizo.

Nchi inao viongozi wengi, lakini viongozi aina ya Mwigulu ni wa kuhesabu kama si kutafuta. Tunalo jukumu la pamoja kuhakikisha viongozi wetu wanatekeleza majukumu yao kama afanyavyo huyu ambaye ameonesha njia.

Tunalo jukumu kumhakikishia ya kuwa tunamuunga mkono katika utekelezaji wa majukumu yake na katika kulitumikia taifa letu na sio kumbeza kama ambavyo wengine wanafanya.
Pamoja na Mwigulu kuwa Naibu Katibu Mkuu CCM amekuwa akitimiza majukumu yake ya Naibu Waziri wa Fedha bila ubaguzi jambo ambalo limekuwa adimu katika kipindi hili.

Tanzania yangu ya sasa inahitaji viongozi walio na utayari wa kuwatumikia wananchi wake, walio na uchungu na mali na raslimali za nchi na si vinginevyo.

“Mimi sio matokeo ya jitihada za kundi lolote kufika hapa nilipo, niligombea ubunge nikiwa sijulikani na kundi lolote na wala sikutengenezwa na kundi lolote. Hata nilipokwenda kugombea sikuwa hata na baiskeli, pikipiki wala gari. Mimi sina kundi na wala sitokani na makundi yanayokinzana, sina kundi lolote ndani ya chama wala siegemei kundi lolote.”

“Lililo jema ni kutokuwa na chuki wala ugomvi na wanaCCM wenzangu. Sina sababu na wala sioni faida ya kuingia kwenye makundi katika ngazi hii na muda huu.” anasema.

Hii ni miongoni mwa kauli zilizowahi kutolewa na Mwigulu, kauli inayopashwa kutolewa na kiongozi anayesimamia kile anachokiamini katika utekelezaji wa majukumu yake bila kuegemea upande wowote ule.

Tanzania ya kizazi hiki inahitaji viongozi wenye maono, wenye uthubutu wa kusema hapana sasa imetosha, viongozi walio na uchungu na ndugu zao kutokana na maisha wanayoyaishi.
Mwigulu Nchemba ni miongoni mwa viongozi walioonesha msimamo wao katika kutetea kile wanachoamini kuwa ni kwa ajili ya Watanzania wote na kwa faida ya wote.

Ni vyema tukasimama na kumuunga mkono yeye pamoja na viongozi watakao kuwa tayari kutimiza wajibu wao kama afanyavyo Mwigulu.

Tunalo jukumu la kusimama pamoja na Mwigulu kuhakikisha ya kuwa yale anayoyabainisha anayatetea bila hofu kwa faida yetu sote.

CHANZO: DIRA YA MTANZANIA


SIFA ZA KIJINGA BANA! iv unajuwa wakati MKAPA anaachia madaraka serikali ilikuwa inakusanya sh. ngapi kwa mwezi? mwigulu amekuja juzi unatuambia ametoa bilion 300 hadi 800. naendelea kugundua kuwa tatizo letu ni kubwa kuliko tunavyolijua, wazungu wanasema tunawaza vizuri zaidi kwenye masuala ya ngono kuliko mambo ya jamii na maendeleo.
 
mmepewa pesa ili mumpigie debe huyo mpuuzi mwenzenu nn? eti nchema nchemba haaaaa! hafai kabisa na kama amewahonga ili mumsaidie mwambieni ukweli kwamba hakubaliki hata kidogo
 
Back
Top Bottom