gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
umeamini kwamba hatafika saa mbili nyingine imekuja??
haya mie naisubiria ya kitila mkumbo.
na Babu mwenye kadi mbili na siasa za kuwatumia nyinyi njaa kali vp?
namba pekee ya mjumbe wa bavicha bwana liberatus dotto ambaye nilimtumia jumla ya shilingi 40 elf (mwanahalisi wao wamedanganya kuwa nilimrushia laki moja na nusu-150,000/=) ambazo yeye mwenyewe aliniomba mara nne tofauti, mara ni 0717 268576 AMBAYE KUMBE ALITUMWA NA WAPINZANI WANGU ASEME NIMEMPA RUSHWA, Mungu ni mkubwa kwani wakati anatoa ushuhuda wa mimi kumrushia yeye rushwa ya nauli tayari nilishapata nakala ya ticket yake ya ndege ya shirika la precision air yenye namba E-TICKET NUMBER 03144109725678 ya ndege aina PW411 ya kwenda Dar tarehe 25.05.2012 na kurudi mwanza tarehe 02.07.2012 AMBAPO ALIWASILI JKN AIRPORT SAA 10:00AM na kurudi mwanza kwa ndege ya saa 18:00 jioni kwa tarehe hisika. ticketi hizi zililipiwa na kiongozi mmoja wa chama ambaye kwa kipindi hicho alikuwa mbunge na taarifa zinasema alirudishiwa pesa zake na chama baada ya kutimiza kazi zake ipasavyo---hapa walidhihirisha ujinga wao na nikazidi kuwadharau..maana wamenishtaki kwa kutoa rushwa ya kutengeneza huku wao wakitoa rushwa ya zaidi ya laki 3.7 kwa ticket....
SLAA anazeeka vibaya
Bro..huyu dogo ni jirani yetu pale Kibaha maeneo ya Sheli..Uyaoni..tunayajua maisha yenu yote..sitaki kwenda huko ila ntakuja baadae na picha na maelezo ya kutosha..wewe ni mtoto mdogo sn nenda kavae Pampas..Habibu Mchange nakufahamu vyema.Tangu enzi zile unauza korosho na miogo ya kuchoma pale Kibaha.Sasa hivi umebadilika sana kiuchumi. Wewe bado mwanafunzi wa UDOM. Umekuwaje na ukwasi ulionao wakati familia yako ni choka mbaya?
Wana-Kibaha walikukataa kwa sababu mbili.Kwanza,ulikuwa bado mwanafunzi.Pili,huna msimamo kwakuwa ulinywea haraka kwa Koka na kumsusia jimbo la Kibaha Mjini.Uongo? Uasi wenu chamani umeshindwa.Sasa mna machaguo mawili: kutubu au kujitoa chamani.Lakini,hata mkitubu hatutawaamini tena.Habibu Mchange,natunza mengine kwa heshima yako. Kaa kimya
umeamini kwamba hatafika saa mbili nyingine imekuja??
haya mie naisubiria ya kitila mkumbo.
Nimegundua hata chacha wangwe kifo chake ni dhulma kwasababu ukitaka kumpinga MH MBOWE lazima utaambiwa ww ni pandikizi la ccm TUACHENI CUF TUPUMUE