Mani H
Senior Member
- Mar 25, 2011
- 180
- 46
Tatizo la ulaji nguruwe
Na nyinyi mnavyogeuzana unajua tatizo nn? Maana kwenu kama si wewe basi mdogo wako au kaka yko mnachezewa.
Tatizo la ulaji nguruwe
tatizo lako umepata taarifa hapa hapa tu kuwa curious to know more about ,mimi sijaipata hii taarifa hapa tu nimepita zaizi ta blog 3 ndio sababu nsema hivyo
nenda mbeya yetu blog-anaitwa
BABA WA MAREHEMU:RIZIKI MWANGOKAMAMA YAKE ANAITWA, Esther Mwambenja,MWENYEKITI WA KIJIJI:
Lutengano Mwakyoma
sasa utakkuwa umenielewa vizuri
Hivi kwa nini tukimbilie kupima... Ashitakiwe... Nashauri, kama tulivyo na magereza ya watoto watukutu, au kama tulivyo na hospitali ya mirembe... TUWE NA MAGEREZA YA WASIO NA AKILIInasikitisha sana. Huyu jamaa akapimwe kama ana matatizo ya akili. Kama sio hivyo, atakuwa ni mshirikina. R. I. P Debora.
nilimuonya sana mdogo wangu kuhusu mchumba wake wa huko mbeya mnyakyusa .akija uwawa sijui itakuwaje watu wa mbeya sio watu ,kulingana na huu msururu wa mauaji yakinyama ntamtimua yule bwana akileta mahari lol sitaki kuamini binadamu wa hivyo bora ukutane na simba mla watu akule na sio binadam kiumbe kibaya sanahiki. Thanda co me this way mbeya its not a good place to stay!!!
nilimuonya sana mdogo wangu kuhusu mchumba wake wa huko mbeya mnyakyusa .akija uwawa sijui itakuwaje watu wa mbeya sio watu ,kulingana na huu msururu wa mauaji yakinyama ntamtimua yule bwana akileta mahari lol sitaki kuamini binadamu wa hivyo bora ukutane na simba mla watu akule na sio binadam kiumbe kibaya sanahiki. Thanda co me this way mbeya its not a good place to stay!!!
nilimuonya sana mdogo wangu kuhusu mchumba wake wa huko mbeya mnyakyusa .akija uwawa sijui itakuwaje watu wa mbeya sio watu ,kulingana na huu msururu wa mauaji yakinyama ntamtimua yule bwana akileta mahari lol sitaki kuamini binadamu wa hivyo bora ukutane na simba mla watu akule na sio binadam kiumbe kibaya sanahiki. Thanda co me this way mbeya its not a good place to stay!!!
blabalabalabalablabaa nyingi ujumbe ushaupata ndugu yangu hata msichana wa kazi wa mbeya ni hatari sana nimekaa nao nimeonaBaada ya kumkataza asiolewe na watu wa Mbeya ulimpelekea mwanaume uliyetaka aolewe naye? Unaweza kutupa idadi ya wanaume ulio waacha baada ya kuona kusikia matendo yaliyofanywa na watu wa makabila yao?
Mdogo wako ana akili sana, alishakupima na kuona mawazo yako yanapoishia. Yaani badala ya kujishughulisha kumfahamu mtu anayetaka kumuoa mdogo wako ili umsaidie wewe unaenda na story za kuambiwa ambazo hazimhusu mchumba wake huyo bali watu wengine?
Unadhani kabila utokalo wewe ni salama sana lisilo na matope?
Kwa taarifa yako ni kuwa huyo jamaa yupo driven na psycological disorders ambazo humpata mtu yoyote bila mipaka ya kikabila bali kwa hisia tofauti zitokanazo na masuala ya kiuchumi, kisiasa, mapenzi, kiroho n.k
Pi ni kuwa huna ulijualo kuhusu watu wa Mbeya.
Kuendelea kuwa mjinga ni uamuzi wako.
Soma hapa chini.
Je ni kweli alimuua Mkewe Mja mzito wa Miezi 8?
:blah::blah::blah::blah::blah::blah::blah::blah::blah::blah::blah::blah::blah: habari ndio hiyi!!!!Usihukumu usijehukumiwa, watu wa mbeya sio watu ila ni mawe? iyo ni akili ya mtu iliyoshindwa kutanuka na si kabila wala rangi ya mtu. Haya nimatatizo ya kisaikolojia huwapata watu wengi tu wanapokosa msaada wa kiakili na mawazo katika maswala wanayofikiria bila kupata majibu. Usimkoseshe mwenzio penzi lake, wanaoua wachungaji na mapadri nao ni wa mbeya? Wanaofisadi nchi wote ni mbeya? Usiigawe nchi kwa mtazamo wako huyo ni mtanzania na sio mmbeya kama wewe unavyosema. Binadamu yeyote hata wewe waweza kugeuka na kuwa na hali hiyo kulingana na mwenendo wa kimwili, kwani hilo swala si la mtu mwenye akili timamu, hicho ni aina ya kichaa.
blabalabalabalablabaa nyingi ujumbe ushaupata ndugu yangu hata msichana wa kazi wa mbeya ni hatari sana nimekaa nao nimeona
huyo hana roho ya binadamu ana roho ya nguruwe