Wadau,
Kwa mara ya kwanza nimesoma comments kwenye blog moja nimekutana na haya MAoni yametolewa na mdada kwenye maada ya ABIRIA TUNZA MZIGO WAKO
Soma hapa nimecopy kama yalivyo
Mizigo mingine kichefuchefu sana tuu, milimtongozaga mume wangu facebook
nikajiweka mtu mwingine no ya simu alitoa, offer ya kunipick nikapewa tena kwa
gari tuliyonunua wote na nikaambiwa nategema kuenda kikazi mahali kwa muda wa
week moja sikuamini na macho yangu wanaume wengine viazi mtu humjui hujui tabia
zake tena facebook bado unajiandaa kutoa mdudu wako ka si HIV ninini. soma
nyaraka mama mijiwanaume mingine ni laaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana full stop.
Je anafaa katika jamii???????
Kwa mara ya kwanza nimesoma comments kwenye blog moja nimekutana na haya MAoni yametolewa na mdada kwenye maada ya ABIRIA TUNZA MZIGO WAKO
Soma hapa nimecopy kama yalivyo
Mizigo mingine kichefuchefu sana tuu, milimtongozaga mume wangu facebook
nikajiweka mtu mwingine no ya simu alitoa, offer ya kunipick nikapewa tena kwa
gari tuliyonunua wote na nikaambiwa nategema kuenda kikazi mahali kwa muda wa
week moja sikuamini na macho yangu wanaume wengine viazi mtu humjui hujui tabia
zake tena facebook bado unajiandaa kutoa mdudu wako ka si HIV ninini. soma
nyaraka mama mijiwanaume mingine ni laaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana full stop.
Je anafaa katika jamii???????