Huyu naye anafaa katika jamii?

Benno

JF-Expert Member
Nov 21, 2009
332
51
Wadau,
Kwa mara ya kwanza nimesoma comments kwenye blog moja nimekutana na haya MAoni yametolewa na mdada kwenye maada ya ABIRIA TUNZA MZIGO WAKO



Soma hapa nimecopy kama yalivyo

Mizigo mingine kichefuchefu sana tuu, milimtongozaga mume wangu facebook
nikajiweka mtu mwingine no ya simu alitoa, offer ya kunipick nikapewa tena kwa
gari tuliyonunua wote na nikaambiwa nategema kuenda kikazi mahali kwa muda wa
week moja sikuamini na macho yangu wanaume wengine viazi mtu humjui hujui tabia
zake tena facebook bado unajiandaa kutoa mdudu wako ka si HIV ninini. soma
nyaraka mama mijiwanaume mingine ni laaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana full stop
.




Je anafaa katika jamii???????
 
Nani sasa anafaa???Mwanume anaedata na asiyemjua fesibuku au dada aliyemdatisha mume na kutoa ushuhuda???

Ndoa hizi jamani.....kaaazi kweli kweli!
 
Wewe Benno hebu acha kupitapita kwenye blog za kike. Huko kumejaa umbea tu, wewe unaenda kutafuta nini huko???
 
Sina swali zuri zaidi ya hilo, Na nimeweka hii kitu watu wapanue mawazo. Kuna vijitabia ambukizi ambavyo vinasumbua sana Vijana. Navyo ni muhimu kuvielewa vyanzo vyake na ukisoma vizuri kuna mengi ya kujifunza kwani kupitia mitandao watu wanafanikisha malengo mengi ndio maana halisi ya Social Network












_____________________________________________________________

sina busara usijiunge nami kuna hatari ukapungikiwa busara ulizonazo
 
Nilichojifunza hapo Benno ni kuwa kuna ways nyingi za kumkamata wife/husband/ partner cheater, mojawapo ni ku date nae through facebook kutumia jina fake. Haaa. Unamkamata utamu.
 
HTML:
Soma hapa nimecopy kama yalivyo
 
 Mizigo mingine kichefuchefu sana tuu, milimtongozaga mume wangu facebook
nikajiweka mtu mwingine no ya simu alitoa, offer ya kunipick nikapewa tena kwa
gari tuliyonunua wote na nikaambiwa nategema kuenda kikazi mahali kwa muda wa
week moja sikuamini na macho yangu wanaume wengine viazi mtu humjui hujui tabia
zake tena facebook bado unajiandaa kutoa mdudu wako ka si HIV ninini. soma
nyaraka mama mijiwanaume mingine ni laaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana full stop.
 
 
 
 
Je anafaa katika jamii???????

Wote hawafai kwa sababu mpaka jamaa yako kafika huko ujue ya kuwa ana mushkeli mkubwa na wewe..................you are not compatible, to put it mildly..........................

ila hii riwaya inanitia mashaka ya kuwa huyu njemba yaelekea alikuwa anatosa ndoana tu haimaanishi ya kuwa lazima angefuatilia kila kitu mpaka afike mwisho wake............................hiki siyo kipimo sahihi cha infi................ya mzee wake.......ninamshauri mama huyu arudi kwa nyumba na kumpigia mzee magoti kwa kumdhalilisha ......................
 
Wadau,
Kwa mara ya kwanza nimesoma comments kwenye blog moja nimekutana na haya MAoni yametolewa na mdada kwenye maada ya ABIRIA TUNZA MZIGO WAKO



Soma hapa nimecopy kama yalivyo

Mizigo mingine kichefuchefu sana tuu, milimtongozaga mume wangu facebook
nikajiweka mtu mwingine no ya simu alitoa, offer ya kunipick nikapewa tena kwa
gari tuliyonunua wote na nikaambiwa nategema kuenda kikazi mahali kwa muda wa
week moja sikuamini na macho yangu wanaume wengine viazi mtu humjui hujui tabia
zake tena facebook bado unajiandaa kutoa mdudu wako ka si HIV ninini. soma
nyaraka mama mijiwanaume mingine ni laaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana full stop
.




Je anafaa katika jamii???????




Duh! Dada alikua na hasira..... I hope hakumjeruhi mume siku hiyo....
 
HTML:
Soma hapa nimecopy kama yalivyo
 
 Mizigo mingine kichefuchefu sana tuu, milimtongozaga mume wangu facebook
nikajiweka mtu mwingine no ya simu alitoa, offer ya kunipick nikapewa tena kwa
gari tuliyonunua wote na nikaambiwa nategema kuenda kikazi mahali kwa muda wa
week moja sikuamini na macho yangu wanaume wengine viazi mtu humjui hujui tabia
zake tena facebook bado unajiandaa kutoa mdudu wako ka si HIV ninini. soma
nyaraka mama mijiwanaume mingine ni laaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana full stop.
 
 
 
 
Je anafaa katika jamii???????

Wote hawafai kwa sababu mpaka jamaa yako kafika huko ujue ya kuwa ana mushkeli mkubwa na wewe..................you are not compatible, to put it mildly..........................

ila hii riwaya inanitia mashaka ya kuwa huyu njemba yaelekea alikuwa anatosa ndoana tu haimaanishi ya kuwa lazima angefuatilia kila kitu mpaka afike mwisho wake............................hiki siyo kipimo sahihi cha infi................ya mzee wake.......ninamshauri mama huyu arudi kwa nyumba na kumpigia mzee magoti kwa kumdhalilisha ......................


So typical of men kuteteana, hapo iko wazi kabisa, jamaa mpaka aliaga in advance...
 
HTML:
So typical of men kuteteana, hapo iko wazi kabisa, jamaa mpaka aliaga in advance...

kuaga hakuna shida badi hajafumaniwa ila kawekwa kwenye mtego...............................wewe unakwenda kumjaribu mzee wako sasa wategemea afanye nini? It takes two to rumble...............................................
 
HTML:
Wadau,
Kwa mara ya kwanza nimesoma comments kwenye blog moja nimekutana na haya MAoni yametolewa na mdada kwenye maada ya ABIRIA TUNZA MZIGO WAKO

hivi kwenye mapenzi dada zetu ni abiria tu..........wa kupelekeshwa watakako au hata wasikotaka?
 
HTML:
So typical of men kuteteana, hapo iko wazi kabisa, jamaa mpaka aliaga in advance...
kuaga hakuna shida badi hajafumaniwa ila kawekwa kwenye mtego...............................wewe unakwenda kumjaribu mzee wako sasa wategemea afanye nini? It takes two to rumble...............................................


Huyo dada si mtoto mdogo wala si mjinga, unaunganisha one and one makes two... Mi naamini kabisa the guy alitaka kwenda akakutane na huyo dada. Sisemi what the lady did was right, maana hizo ni presha za kujitakia - mwanaume wake ni flesh and blood na lijali i believe; anategemea mwanamke amtongoze akatae? inajulikana kabisa wanaume wanapenda variety hivyo posibility ya kumtega kwa njia hiyo ilikua kubwa. Alafu bahati mbaya sana unaweza kuta the guy hata hakuwahi toka nje, na yeye mwenyewe mwanamke akampandikiza hilo wazo akilini.
 
HTML:
Wadau,
Kwa mara ya kwanza nimesoma comments kwenye blog moja nimekutana na haya MAoni yametolewa na mdada kwenye maada ya ABIRIA TUNZA MZIGO WAKO

hivi kwenye mapenzi dada zetu ni abiria tu..........wa kupelekeshwa watakako au hata wasikotaka?



Kuna wale ambao ni abiria, na kuna wale wanaojifanya abiria na kuna madereva na wanaojifanya madereva pia.... Variety
 
Wadau,
Kwa mara ya kwanza nimesoma comments kwenye blog moja nimekutana na haya MAoni yametolewa na mdada kwenye maada ya ABIRIA TUNZA MZIGO WAKO



Soma hapa nimecopy kama yalivyo

Mizigo mingine kichefuchefu sana tuu, milimtongozaga mume wangu facebook
nikajiweka mtu mwingine no ya simu alitoa, offer ya kunipick nikapewa tena kwa
gari tuliyonunua wote na nikaambiwa nategema kuenda kikazi mahali kwa muda wa
week moja sikuamini na macho yangu wanaume wengine viazi mtu humjui hujui tabia
zake tena facebook bado unajiandaa kutoa mdudu wako ka si HIV ninini. soma
nyaraka mama mijiwanaume mingine ni laaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana full stop
.




Je anafaa katika jamii???????
Nani sasa anafaa mke au mume?
 
rule number one: usimtege mwenzio,unaingia fesibuku na jina feki inahusu?
rule number two: usimpekenyue mwenzio,wallet yake,hand bag lake,simu yake,usiguse
rule number three: usilolijua ni usiku wa giza
rule number four: mapenzi ni kikohozi,uhitaji kumvizia mwenzio fb ujue ana cheat,aki fall kwa mwingine utajua tu.
rule number five: mla mla leo,wa jana kala nini,achana na historia ya mwenzio
rule number six: ulimpenda,ndo mana uliingia naye kwenye ndoa
rule number seven: ndoa sio extended holiday,ina suluba zake
rule number eight: mkataa pema pabaya pamungoja,we mchokonoe tu mkiachana ndo utajua....
rule number nine:ningejua,ningejua,huja baada ya mkasa
finaly rule namba ten:refer to rule namba one
 
HTML:
Soma hapa nimecopy kama yalivyo
 
 Mizigo mingine kichefuchefu sana tuu, milimtongozaga mume wangu facebook
nikajiweka mtu mwingine no ya simu alitoa, offer ya kunipick nikapewa tena kwa
gari tuliyonunua wote na nikaambiwa nategema kuenda kikazi mahali kwa muda wa
week moja sikuamini na macho yangu wanaume wengine viazi mtu humjui hujui tabia
zake tena facebook bado unajiandaa kutoa mdudu wako ka si HIV ninini. soma
nyaraka mama mijiwanaume mingine ni laaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana full stop.
 
 
 
 
Je anafaa katika jamii???????

Wote hawafai kwa sababu mpaka jamaa yako kafika huko ujue ya kuwa ana mushkeli mkubwa na wewe..................you are not compatible, to put it mildly..........................

ila hii riwaya inanitia mashaka ya kuwa huyu njemba yaelekea alikuwa anatosa ndoana tu haimaanishi ya kuwa lazima angefuatilia kila kitu mpaka afike mwisho wake............................hiki siyo kipimo sahihi cha infi................ya mzee wake.......ninamshauri mama huyu arudi kwa nyumba na kumpigia mzee magoti kwa kumdhalilisha ......................
Rutashubanyuma hapo unakosea kwani kutest mwenzako uaminifu wake ni kosa? Jamaa kaonyesha udhaifu wake na atakuwa mshamba tu, wanaume wajanja siku hizi zikitokea hizo wanahisi ni wake zao hivo wanajifanya kutukana mbaya mpaka mke atajiona choo
 
Mimi nimependa the whole idea. Maanake inatoa somo kwa cheaters kuwa face book na mitandao mingine ya kijamii si mahala pa kufanyia uzinzi kwani hujui una communicate na nani? Hata hapa JF kama kuna watu wanampango wa kudate wazingatie hilo. waweza kudate na mumeo/mkeo mkutane live iwe noma. Mfano mimi hapa nyumba kubwa si jina langu, inawezekana na mume wangu anajiita cheusi na si jina lake. Unaona soo hiyo. Nadhani kwa sasa couples zinachanganya akili sana namna ya kuchunga mizigo yao via spying and intelligence work. Mimi ni mmoja wao aisee, mume wangu akianza cheating will be caught in less than a month
 
Back
Top Bottom