Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Huyu kijana anasimamia sheria kama Rais alivyokuwa akizisimamia wakati wa bomoabomoa mpaka Jakaya Kikwete akamvuta shati.
Kwa kasi ya kijana huyu kuokoa vyanzo vyetu vya maji na mito ni wazi anakidhi kasi ya Mhe.Rais.
Rais John Magufuli mfikirie huyu kijana nimemfuatilia anaweza kufiti sehemu nyingi kwenye Serekali yako.
Kifupi tunaweza sema jamaa anapiga miguu yote.
Kwa kasi ya kijana huyu kuokoa vyanzo vyetu vya maji na mito ni wazi anakidhi kasi ya Mhe.Rais.
Rais John Magufuli mfikirie huyu kijana nimemfuatilia anaweza kufiti sehemu nyingi kwenye Serekali yako.
Kifupi tunaweza sema jamaa anapiga miguu yote.