Huyu Mwanamke......Me n' My lil Girl (happy bday Malaika)

Happy bday to your lil girl, JouneGwalu, kati ya habari/thread zilizonigusa siku ya leo, ya kwanza ni ya willsmith na ya pili ni hii, Siamini kabisa kama kuna wamama wanaweza wasiwajali watoto wao kiasi cha namna hiyo,Mungu aendelee kukupa nguvu ili ufanye kazi kwa bidii ili umlee mwanao, yaani hata huko aliko anashindwa kabisa kuwaza kwamba ana mtoto mahala? kweli kizuri hakikosi kasoro. May God continues to bless you
 
Hongera kwa kumpenda Mwanao, Aidha nimpe Mama yetu, na Dada kwa malezi mazuri ya mtoto. Lakini na wewe ulifanya haraka mno, miezi miwili tu ukawa umefahamu tabia ya Cashier na kuacha mbegu!!!
 
Hongera kwa kumpenda Mwanao, Aidha nimpe Mama yetu, na Dada kwa malezi mazuri ya mtoto. Lakini na wewe ulifanya haraka mno, miezi miwili tu ukawa umefahamu tabia ya Cashier na kuacha mbegu!!!

Mtu wangu umenikwatua kwa kicheko kweli.
Yaani haya mambo ya ujana mwana we acha tu.
Lile penzi lilianza kwa mbwembwe nyingi sana, siku ilikuwa kama mwaka tukiwa na yule shosti.
Ngoja nikuibie siri alikuwa mtoto wa Kinyamwezi...... ndugu yangu unawajua wanyamwezi wewe?
Amepitia mafunzo kadhaa ya unyago, kijana wa kinyaki nikalewa kabisa... mechi mbili nikaanza kuuza game!
Kwa hichi tulichojenga kwenye lile penzi ni vizuri kuweka kama kumbukumbu tamu sababu zilileta kitu kitamu sana na zaidi "Malaika"
Ila mwanamke mzuri akigeukia tabia mbaya anakuwa mbaya zaidi ya mwanamke mbaya.
 
Weeee kitafute mpaka ukipate bana!!!
Alafu take it easy na Womenizer...ana point na mwenyewe nimemwelewa so na wewe jaribu kufanya hivyo!

HHEHEHEHE. kumbe ehhh!Sikuwahi kugundua hilo!


Da nimeiona na nimekugongea.
Poa kiongozi wangu Lizzy, Da womenizer nimemuelewa pia!
Unaona ndio maana naendelea kukupa cheo cha "Monta* wa MMU"

*Monta- kwa primary za kayumba tulikuwa tunamaanisha Monitor, kwamba kiongozi wa darasa!
 
Happy bday to your lil girl, JouneGwalu, kati ya habari/thread zilizonigusa siku ya leo, ya kwanza ni ya willsmith na ya pili ni hii, Siamini kabisa kama kuna wamama wanaweza wasiwajali watoto wao kiasi cha namna hiyo,Mungu aendelee kukupa nguvu ili ufanye kazi kwa bidii ili umlee mwanao, yaani hata huko aliko anashindwa kabisa kuwaza kwamba ana mtoto mahala? kweli kizuri hakikosi kasoro. May God continues to bless you

Thanks Gaga!
Huwa sipendagi ku-generalize watu, ila kweli kuna hawa wanawake!
Tena ni wazuri hata ukiwaangalia sura zao huwezi amini kama ni yeye.
Ila yet hiyo haiwezi kuondoa ukweli kuwa wanawake ndio tunu ya dunia.
Na Malaika wangu atakuwa mwanamke bora sana
 
Kazi sana!
By the way sihitaji sifa yoyote,
Wala hichi ninachopokea toka kwa "wanajamvi" (ambacho wewe unaita sifa)
Sio sababu ya mimi kushirikisha wanajamvi, japo naheshimu sana hoja za wote na kunakitu napata toka kwao (wanaonisifia kwa mujibu wako).
Mkuu hili ni jukwaa la Mahusiano-Mapenzi na Uhusiano, nimemega sehemu ya mkasa ambao kwangu na binti yangu vina maana sana.
Sababu wanajamii wa JF ni kama ndugu kwangu ndio nikawashirikisha kama ambavyo nimekuwa nawashirikisha na wao wananishirikisha mambo kibao hapa jamvini.
Nisaidie, we ulitaka watu wasemeje sasa?
Ila fanya hivi, kama we unaona mizinguo si unapotezea tu.
Hii thread wame-view watu zaidi ya 60 ila walio-reply ni 32 tu (mpaka sasa).
So kama vipi na wewe pita tu kama wengine kuliko kuanza ku-discourage wengine.
Unapoposti maisha yako hapa tegemea na negative criticism. Inashangaza sana umeamua kushea mwenyewe halafu unataka pia kudictate aina ya maoni unayotaka kuyaona. Let me put it this way, Kama unataka michango ya aina fulani tu, basi ungeweza kuwatumia PMs hao unaodhani wataandika jinsi upendavyo.
 
Tuko pamoja Afro Denz!
Thanks vile ur there for me.
Pia ahsante kwa niaba ya Malaika wangu.
Nadhani zawadi uliyompa ni anastahili sana,
Sure yeye ni malkia, wa tunu kama hiyo.......
Najaribu kufanya perfect, japo kwa hichi nilichokabidhiwa na Mungu.

(wish nisikie stori yako pia, naamini umwanamke imara sana)

dahhh hongera sana mkuu
ntakwambia kitu hiki From experience..
hakuna jambo zuri kama ukimtunza na kumpenda
mwanao sasa maana hujui atakuja kukulete au kuwa
nini baadaye.. ndio maana nakupongeza sana..
ukimtunza akiwa mtoto atakutunza ukiwa mzee
..
 
Unapoposti maisha yako hapa tegemea na negative criticism. Inashangaza sana umeamua kushea mwenyewe halafu unataka pia kudictate aina ya maoni unayotaka kuyaona. Let me put it this way, Kama unataka michango ya aina fulani tu, basi ungeweza kuwatumia PMs hao unaodhani wataandika jinsi upendavyo.

Daahhhh
nimesoma comment zako mkuu
ni nini tu lakini dear ..??
mbona hapa ni birthday ya mtoto jamani..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom