Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Happy bday to your lil girl, JouneGwalu, kati ya habari/thread zilizonigusa siku ya leo, ya kwanza ni ya willsmith na ya pili ni hii, Siamini kabisa kama kuna wamama wanaweza wasiwajali watoto wao kiasi cha namna hiyo,Mungu aendelee kukupa nguvu ili ufanye kazi kwa bidii ili umlee mwanao, yaani hata huko aliko anashindwa kabisa kuwaza kwamba ana mtoto mahala? kweli kizuri hakikosi kasoro. May God continues to bless you