Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Hivi ndivyo walivyo anaongea sana uongo na kujisifu ,kupeleka umbeya kwa mabosi utafikiri ndicho alichosomea ,sijawahi ona mwanaume mwongo kama huyu mgoni hapa,kwa style hii wangoni wapite mbali nami!