Huyu Mfalme Charles ana dharau sana au anamaanisha nini?

Hakuna tatizo, sehemu nyingi za vyakula nyama choma au za supu zilizochemshwa hushikwa na mkono wa kushoto wakati wa kumkatia mteja.
Kimsingi, kwa mtu msafi, hamna tofauti kati ya mikono hii miwili na hakuna sababu ya kuuchukia au kuudharau mkono mmoja wapo.
 
Hao kawala tokea ana balehe,,,kuzaliwa tu kwenye hio familia unavua vyupi vya kutosha ndo maana ile kesi ya wakina epstein huko visiwani kula vitoto vibichi nae ni mhusika
Hapana mkuu siye yeye ni mdogo wake wa kiume prince Andrew ambaye alikuwa kipenzi cha mama yake queen Elizabeth.
 
Awali ya yote Huyu Mfalme akiwa kama kiongozi mkuu na mwenye mamlaka ya kimaamuzi kwenye Jumuiya ya Commonwealth

Tunamtaka Aridhie mchakato wa Kudai Kariba mpya tupate Katiba mpya.

Au, tuondoke kwenye Jumuiya hii tupate Katiba yetu halafu ndio turudi.

Tumechoshwa kulagahiwa na hawa Wanasiasa.

Ni Kwanini nchi zilizomo katika Jumuiya hii hazijatoa "ruksa" kwa Tanzania kupata Katiba mpya? Ikumbukwe Tanzania haiwezi kupata Katiba mpya bila nchi zote kwenye jumuiya kuridhia na kupewa baraka ama saini ya Mfalme Charles!

Je, ni mfalme Chalesi ndie anayetukwamisha?
Wa tz 🇹🇿😂 wanasheherekea uhuru bandia, uhuru wa manyani.

Mdogo mdogo mutaja kundua ukweli
 
Back
Top Bottom