SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,101
- 6,708
Uhuru kutoka kwa nani?Tanzania ilipata uhuru mwaka 1961 amka acha kujidunisha kujidhalilisha.
Hivi hata unaelewa maana ya kujidhalilisha?
Fungua fuvu hilo
Uhuru kutoka kwa nani?Tanzania ilipata uhuru mwaka 1961 amka acha kujidunisha kujidhalilisha.
Haya bwn kazi...Kwa wewe uliyeambiwa na waarabu, kwao mikono yote yake iko sawa.
Stori tu za vijiweni hizo mkuu.JPM alimpa ubalozi kimkakati.
Uzee nao tatizo akili ishachoka.View attachment 2941435
Kulia ni balozi wenu mpya wa uingereza Mh.Mbelwa Kairuki akikabidhi hati za utambulisho kwa Mfalme.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Achana nae kaka ,suti yenyewe imemfanya aonekane kama panzi anaekuwa
sema kweli, mmoja ni mhaya mwingine mchagaNi kaka yake😎
Hao wote umekosea.sema kweli, mmoja ni mhaya mwingine mchaga
Kimsingi, kwa mtu msafi, hamna tofauti kati ya mikono hii miwili na hakuna sababu ya kuuchukia au kuudharau mkono mmoja wapo.Hakuna tatizo, sehemu nyingi za vyakula nyama choma au za supu zilizochemshwa hushikwa na mkono wa kushoto wakati wa kumkatia mteja.
Hapana mkuu siye yeye ni mdogo wake wa kiume prince Andrew ambaye alikuwa kipenzi cha mama yake queen Elizabeth.Hao kawala tokea ana balehe,,,kuzaliwa tu kwenye hio familia unavua vyupi vya kutosha ndo maana ile kesi ya wakina epstein huko visiwani kula vitoto vibichi nae ni mhusika
Aah nikamchanganya,,,,....ila yaleyale si unaona mdogo wake tu kala vyupi vya kutosha na hakua mfalme,,, ukizaliwa kwenye hio familia vyupi sio shida kabisaHapana mkuu siye yeye ni mdogo wake wa kiume prince Andrew ambaye alikuwa kipenzi cha mama yake queen Elizabeth.
Wa tz 🇹🇿😂 wanasheherekea uhuru bandia, uhuru wa manyani.Awali ya yote Huyu Mfalme akiwa kama kiongozi mkuu na mwenye mamlaka ya kimaamuzi kwenye Jumuiya ya Commonwealth
Tunamtaka Aridhie mchakato wa Kudai Kariba mpya tupate Katiba mpya.
Au, tuondoke kwenye Jumuiya hii tupate Katiba yetu halafu ndio turudi.
Tumechoshwa kulagahiwa na hawa Wanasiasa.
Ni Kwanini nchi zilizomo katika Jumuiya hii hazijatoa "ruksa" kwa Tanzania kupata Katiba mpya? Ikumbukwe Tanzania haiwezi kupata Katiba mpya bila nchi zote kwenye jumuiya kuridhia na kupewa baraka ama saini ya Mfalme Charles!
Je, ni mfalme Chalesi ndie anayetukwamisha?
BABA balozi,mama Wazir wanakutana Saa ngapi kupeana Love,Duuh kumbe jamaa ndio anamiliki Ile Mali? Hongera zake.
Koti baya kishenzi.Achana nae kaka ,suti yenyewe imemfanya aonekane kama panzi anaekuwa
Hiyo ndio fashion mbona wanaitumiaga Sana, Hata mfalme wa japan anavaa auto kama Mabawa za panziKoti baya kishenzi.
Kwa hiyo wakivaa hayo kama panzi ndo wanajiona wajanja yani..Hiyo ndio fashion mbona wanaitumiaga Sana, Hata mfalme wa japan anavaa auto kama Mabawa za panzi
Anayeona mkono wa kushoto hauna maana aukate.View attachment 2941435
Kulia ni balozi wenu mpya wa uingereza Mh.Mbelwa Kairuki akikabidhi hati za utambulisho kwa Mfalme.