BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,282
- 3,345
Mimi nijuavyo dawa ni maziwa ya PUNDA ( Kihongwe)Uking'atwa na huyo mdudu dawa yake ni kunywa maziwa ya mbwa.
Mimi nijuavyo dawa ni maziwa ya PUNDA ( Kihongwe)Uking'atwa na huyo mdudu dawa yake ni kunywa maziwa ya mbwa.
MythUking'atwa na huyo mdudu dawa yake ni kunywa maziwa ya mbwa.
Mimi amenifanya macho yangu yawe mekundu!Mwili umesisimka,,,,,,aahkh dadeeki unahisia kamili za kike wewe..!!
Nimeanza kukupenda!!
Hatuelekei pasipo julikana Comrade, hapa tunamjadili mdudu ambae mleta uzi wa Dar amesema amemuua na kuna mwingine ni mkubwa sana hadi anaogopa kulala ndani leo...
Sasa mkuu, hao wadudu huku mikoani sisi wanatuuma kila siku na hatuleti thread humu, ujue hawa wanaume wa Dar ni wahovyo sana aiseeeee......
Kuna mmoja alionaga panya kaingia ndani kwake, eti akagoma kulala na mwisho akaleta uzi humu kwamba atamuuwaje huyo panya eti kwasababu anamuogopa....
Hawa wanaume wa Dar hata wakiona msururu wa siafu, huwa wanahama nyumba kabisaaaaaaaa.....Mwanzo kabla ya kuweka iyo picha nikajua utaweka picha ya kiumbe gani sijui cha ajabu,kumbe ni hako hutokei dar kweli wewe
Na ni chakula cha kuku piaTANDU / CENTIPEDE
Anauma ndio, akiuma dawa sijui ni nini, labda ukimbilie hospital
Sasa hawa wanaume wa Dar hawawezi hata kuuwa tandu wallah....Hao wadudu kuna jina wanaitwa "tandu" na inasemekana dawa yake ni kuwaua mara tu wanapokuuma.
waje mikoani huku tuwafundishe ukakamavuSasa hawa wanaume wa Dar hawawezi hata kuuwa tandu wallah....
Centipede{tandutandu}ni mdudu hatari na ana sumu kama walivyo baadhi ya wadudu wengine.
Put your hands together and clap for your self mkuu, umewazidi wanaume wa Daslam kwa ujarisi haki.... Maana bila hivyo nawewe ungekua ushaleta threads nyingi kama wao...Ni tandu huyo, mi shambani kwangu nawaonaga wengi na mara nyingi nawaua.
Halafu nafikiri sio wepesi kuuma mtu.
mchokozi sana wewe.Put your hands together and clap for your self mkuu, umewazidi wanaume wa Daslam kwa ujarisi haki.... Maana bila hivyo nawewe ungekua ushaleta threads nyingi kama wao...
mchokozi sana wewe.Put your hands together and clap for your self mkuu, umewazidi wanaume wa Daslam kwa ujarisi haki.... Maana bila hivyo nawewe ungekua ushaleta threads nyingi kama wao...