tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Namsikia hapa anatetea msafara wa Pinda kuwa na magari 50, kwani hata yeye akienda kijijini anapokelewa na pikipiki 50 na baiskeli 80. Anaendelea kusisitiza kwamba wananchi waendelee kujitokeza kwa wingi pindi viongozi waendapo mikoani, katika kuonesha kwamba wanawapenda viongozi.