Nadhani mama ni jasiri sana, sijui mmewe vipi! Halafu haya mabuti nadhani yametolewa kwa idara za serikali. Tukiyachunguza sana tutakuta STK
Nadhani mama ni jasiri sana, sijui mmewe vipi! Halafu haya mabuti nadhani yametolewa kwa idara za serikali. Tukiyachunguza sana tutakuta STK
Lol! Vijana laanakum!
Nafikiri kuna haja ya kuangalia upya hizi ajira za Serikalini, sizani huyu mama amepitia njia halali za kuajiriwa.
Toa sababu za hisia zako, vinginevyo utaonekana una wivu wa kike!Nafikiri kuna haja ya kuangalia upya hizi ajira za Serikalini, sizani huyu mama amepitia njia halali za kuajiriwa.
aisee shahiba naona umekua mkali kidogo.......... Merry XmasToa sababu za hisia zako, vinginevyo utaonekana una wivu wa kike!
We, mapenzi kitu kingine, acha kabisa. Unaweza kukuta mama akirudi nyumbani ukali wake na ukakamavu anauacha ofisiniKopro??? Si atakuwa anadeki nyumba daily hapo maana pozi la mmama si mchezo
Nadhani mama ni jasiri sana, sijui mmewe vipi! Halafu haya mabuti nadhani yametolewa kwa idara za serikali. Tukiyachunguza sana tutakuta STK