Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Kuna kijana mmoja alitokea hapa kwenye kibarua changu akanielezea anahitaji ajira. Akaacha wasifu wake CV nikapitia nikaona ana degree Bachelor of Business Administration kwa mujibu wa CV. Sasa nikazungumza na mkuu wangu wa kuajiri akasema poa mlete tutamfanyia "interview", sasa nimewasiliana na huyu kijana anipe vyeti vyake alivyomalizia chuo na shule zote zlizopita. Bahati mbaya hana cheti cha chuo, yeye ameniambia hajapewa.
Nikaomba anipe japo yale majibu ya mwisho "Transcript" na yenyewe hana. Nikamwambia anipe vyeti vyoote alivyokuwa navyo nione tutafanyaje, sasa hapa akaniletea cheti Form Six ambacho amefaulu vizuri kunishinda hata mimi enzi zangu, pamoja na barua ambayo imeandikwa kama nilivyonukuu hapo chini. Je ungekuwa wewe ungefanyaje? Mind you kwamba nikimpeleka kule mwisho wa siku mimi nakuwa kama referee wake na ninampigia chapuo kama mtu ninayemjua ingawa hata simjui kabisa. Na kwa kifupi anaonesha anaitaka sana kazi.Na sijui alimaliza hicho chuo au aliishia kati. Hapa chini ni kama alivyoandika yeye sijaongeza sijapunguza hakuweka hata nukta moja au mkato na hakusaini.
I (His name) i am pursued batcher of business administrationat univesty of ........... here it is the letter to request to your that I will submit my universty results which is not found in my certificaties and I fail to submit it dut to the problems which I was faced after complete my final examination because my father was die so I was fail to wait for such cerificaties. Please Sir I beg you to accept my application. Im confident I will perform well if my application will be considered.
Yours
.....................
Nikaomba anipe japo yale majibu ya mwisho "Transcript" na yenyewe hana. Nikamwambia anipe vyeti vyoote alivyokuwa navyo nione tutafanyaje, sasa hapa akaniletea cheti Form Six ambacho amefaulu vizuri kunishinda hata mimi enzi zangu, pamoja na barua ambayo imeandikwa kama nilivyonukuu hapo chini. Je ungekuwa wewe ungefanyaje? Mind you kwamba nikimpeleka kule mwisho wa siku mimi nakuwa kama referee wake na ninampigia chapuo kama mtu ninayemjua ingawa hata simjui kabisa. Na kwa kifupi anaonesha anaitaka sana kazi.Na sijui alimaliza hicho chuo au aliishia kati. Hapa chini ni kama alivyoandika yeye sijaongeza sijapunguza hakuweka hata nukta moja au mkato na hakusaini.
I (His name) i am pursued batcher of business administrationat univesty of ........... here it is the letter to request to your that I will submit my universty results which is not found in my certificaties and I fail to submit it dut to the problems which I was faced after complete my final examination because my father was die so I was fail to wait for such cerificaties. Please Sir I beg you to accept my application. Im confident I will perform well if my application will be considered.
Yours
.....................