Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,280
Huyo kijana ni mkimbizi aliyekimbia kutoka Burma kwenda Bangladesh, hakuwaacha wazazi wake ambao walikuwa hawana uwezo wa kutembea, aliwabeba mabegani mwake kwa muda wa Siku 7 mpaka alipofika mahali salama.
Ulimwenguni ujue bado kuna watoto wenye UPENDO na wenye kuthamini wazazi wao. Mungalie kijana huyu USO wake na ukumbuke aliubeba mlango wa mbinguni kwenye mabega yake kwa siku saba.
Huu ni upendo mkubwa sana kwa wazazi.
A young Man from Burma who fled to Bangladesh, did not leave behind his parents who are unable to move,he carried them on his shoulders for 7 days until he reached his destination. Post it!Let the world know that there are still children with these moral values .
Look at this teenager and remember his face. He carried "the doors of heaven" on his shoulders for 7 days.
This is extreme love for his parents
Ulimwenguni ujue bado kuna watoto wenye UPENDO na wenye kuthamini wazazi wao. Mungalie kijana huyu USO wake na ukumbuke aliubeba mlango wa mbinguni kwenye mabega yake kwa siku saba.
Huu ni upendo mkubwa sana kwa wazazi.
A young Man from Burma who fled to Bangladesh, did not leave behind his parents who are unable to move,he carried them on his shoulders for 7 days until he reached his destination. Post it!Let the world know that there are still children with these moral values .
Look at this teenager and remember his face. He carried "the doors of heaven" on his shoulders for 7 days.
This is extreme love for his parents