Huyu kijana alieimba mashairi kwenye mkutano wa CCM Mwanza sijamwelewa

Kwan Mnaumia Nini? Lowassa Aliyosemwa Hakuyafanya Kweli? Mbna Mnalia Lia? Na Wakuu Wa Wilaya Wameanza Kutoa Matamko Kuwa Hairuhusiwi Kukaa Kwenye Vituo Vya Kupga Kura Mtajinyea Hata Nyie

Tutamtafuta tu yule kijana kwa gharama yoyote.
 
Kwenye ukurasa wa Facebook wa mmoja wa wale waliopata ajali huko selous kunabandiko la kumtabiria lowasa kifo
 
Huyo kijana ana laana na Mungu wa haki atamlipa Magufuli naye alikua anacheka mpaka anataka kulia huku akimpigia makofi naye Mungu mwenye haki atamlipa sawasawa na matendo yake.
 
Deo yeye kwenye ukurasa wake wa Facebook aliandika taifa hili aliwezi kuongozwa na mtu mgonjwa kama lowasa wakufa leo au kesho
 
Kwan Mnaumia Nini? Lowassa Aliyosemwa Hakuyafanya Kweli? Mbna Mnalia Lia? Na Wakuu Wa Wilaya Wameanza Kutoa Matamko Kuwa Hairuhusiwi Kukaa Kwenye Vituo Vya Kupga Kura Mtajinyea Hata Nyie

kwa mujibu wa tafiti za kitaalam mtu yeyote anaona nisawa kutamka hadharan neno kujinyea ana asili ya ushogaz........ maana anapo tamka mwilini mwake anapata mshawasho
 
Kwan Mnaumia Nini? Lowassa Aliyosemwa Hakuyafanya Kweli? Mbna Mnalia Lia? Na Wakuu Wa Wilaya Wameanza Kutoa Matamko Kuwa Hairuhusiwi Kukaa Kwenye Vituo Vya Kupga Kura Mtajinyea Hata Nyie

Huu upumbavu na ushenz wako utakucost.ni kwamba polisi na hai mashetani wenu kama mnajidanganya kuwategemea msaahau na tena hatutoki vituoni n kura tutazilinda kwa mujibu wa sheria na sio kwa mujibu wa madc mwaka Huu mtashuhudia kuwa Watz sio wapimbavu na wala sio wajinga kias hcho
 
Huyu kijana hakujifunza yaliyotokea kwa mch.mtikila,ngoja adhabu yake yaja
 
Kwan Mnaumia Nini? Lowassa Aliyosemwa Hakuyafanya Kweli? Mbna Mnalia Lia? Na Wakuu Wa Wilaya Wameanza Kutoa Matamko Kuwa Hairuhusiwi Kukaa Kwenye Vituo Vya Kupga Kura Mtajinyea Hata Nyie
Huu ni ushambaa?, ujingaa?, njaaa? for me it is un-necessary na inaboa kweli kweli. Hata kama ni siasa lakini za kumdhalilisha mtu namna ile siyo kabisa. Kuna tatizo mahali.
 
Hivi akishinda na akawa Rais wa Jmt, hawa wanaoporomosha matusi wataweka wapi nyuso zao? Je hasira za Mungu watazikwepa? Maana matendo yao ni chukizo kwa wanadamu na mbingu pia.
 
Huu ni ushambaa?, ujingaa?, njaaa? for me it is un-necessary na inaboa kweli kweli. Hata kama ni siasa lakini za kumdhalilisha mtu namna ile siyo kabisa. Kuna tatizo mahali.

Hajadhalilishwa, Jaman Hvi Ukienda Choon, Watu Wakasema Uko Choon Wanakuwa Wamekudhalilisha? Tujiulze, Hvo Kusema Yalomtokea Jukwaan Si Kumdhalilisha,
 
Hivi akishinda na akawa Rais wa Jmt, hawa wanaoporomosha matusi wataweka wapi nyuso zao? Je hasira za Mungu watazikwepa? Maana matendo yao ni chukizo kwa wanadamu na mbingu pia.
Mungu atuchagulie FISADI LOWASSA na genge lake la wafanyabiashara kuwa RAIS WETU?????!!!Hivi ni lini BAADHI YA WACHUNGAJI WATAACHA KUABUDU PESA.Tanzania HAIWEZI KUNUNULIWA KWA FEDHA.Hata kama CCM Wote watamchagua huyo BEPARI HAWEZI KUWA RAIS
 
Huu upumbavu na ushenz wako utakucost.ni kwamba polisi na hai mashetani wenu kama mnajidanganya kuwategemea msaahau na tena hatutoki vituoni n kura tutazilinda kwa mujibu wa sheria na sio kwa mujibu wa madc mwaka Huu mtashuhudia kuwa Watz sio wapimbavu na wala sio wajinga kias hcho

Acha Porojo Wewe, Unadhan Nchi Inaendeshwa Bila Sheria? Nataka Nikueleza Kuwa Hamtakaa Vituon
 
Ninayemshangaa ni Magufuli! Inakuwaje anaomba ridhaa ya Watanzania lakini kwenye timu yake kuna watu wanahubiri udini, ukanda, ukabila, udhalilishaji wa kiutu! Si ndiyo anaonekana ni mtu ambaye hawezi kuwaunganisha watz? Pia anaonekana ni mtu ambaye hawezi kukemea unyanyasaji dhidhi ya wachache
 
Mungu atuchagulie FISADI LOWASSA na genge lake la wafanyabiashara kuwa RAIS WETU?????!!!Hivi ni lini BAADHI YA WACHUNGAJI WATAACHA KUABUDU PESA.Tanzania HAIWEZI KUNUNULIWA KWA FEDHA.Hata kama CCM Wote watamchagua huyo BEPARI HAWEZI KUWA RAIS

Maudhui ya uzi yako kwenye udhalilishaji aliofanya dogo. Tuachane na nani kashinda/kashindwa maana tunaweza kuhama maada.
 
Nikijana alieimba mashairi kwenye mkutano wa ccm furaisha mwanza mashairi yake yamejaa kashifa na kumzalilisha mh. Lowasa mimi nadhani wasanii nibora kuimba vitu vyenyemaana nasio kuongelea ugonjwa wa mtu kwani magonjwa nimpango wa mungu nanimajalibu katika hii dunia kila mtu ni mgonjwa mtalajiwa magufuli hazungumzii ugonjwa wa lowasa iweje nyinyi wasanii mtafute sifa za kijinga kwa kumkashifu mtu. Huyu msanii ameniuzi sana.

Ukweli ni kisu hakijali we babu au mtoto
 
Back
Top Bottom