ndugu yangu huyu dada yangu amewahi kuishi kwetu (kwa wazazi wangu) wakati anasoma nursing,kwa hiyo nilizoeana naye sana pia ananifahamu sana na kingine labda ni kwa sababu kuna demu wangu mmoja alikuwa ananisifiaga wazi wazi mbele yake kwamba najua mapenzi pengine nahisi ndo sababu yakutaka na yeye aonje.Mlianzaje asee.....hadi mkafika kuambiana hayo...
thax but pia nahisi aunt yangu anampa kichwa maana nikifika lazima awapigie mabinti zake wote na anawambia mume wenu kaja.
nashukuru but kuoka aliokoka baada ya mtoto wake kuanza kufuatwa fuatwa na wachawi sasa ili maombi ya ende vyema akashauriwa na yeye aokoke but haikuwa toka moyoni mwakeMwambie ukwel haiwezekani na hakuna kuwasiliana nae hata km n ndugu yako wa karbu maana huyo hajaridhka na undugu anataka vingine,mpotezee bdae atakata tamaa na itakua aibu yake ulokole gan huo?shame on her nna shaka na huyo Mungu anaemuabudu,
thax but pia nahisi aunt yangu anampa kichwa maana nikifika lazima awapigie mabinti zake wote na anawambia mume wenu kaja.basi huyo anayenitaka lazima aje nyumbani na akifika ni lawama kwa nini nimekuja kimya kimya,ni maswali mengine mengi kama utakaa siku ngapi.pia akiwa anarudi kwake ananiomba nimpe kampani,njiani yaani inakuwa full usaili
ndugu yangu huyu dada yangu amewahi kuishi kwetu (kwa wazazi wangu) wakati anasoma nursing,kwa hiyo nilizoeana naye sana pia ananifahamu sana na kingine labda ni kwa sababu kuna demu wangu mmoja alikuwa ananisifiaga wazi wazi mbele yake kwamba najua mapenzi pengine nahisi ndo sababu yakutaka na yeye aonje.
thax but pia nahisi aunt yangu anampa kichwa maana nikifika lazima awapigie mabinti zake wote na anawambia mume wenu kaja.basi huyo anayenitaka lazima aje nyumbani na akifika ni lawama kwa nini nimekuja kimya kimya,ni maswali mengine mengi kama utakaa siku ngapi.pia akiwa anarudi kwake ananiomba nimpe kampani,njiani yaani inakuwa full usaili
hv huyo binamu yako! aliyemwambia wokovu ni kuachana na mume na kwenda kut****a na ndg ni nani? bila shaka huyo binamu yako katumwa na shetani! tena ana jini mahaba! ye mshenzi nini! kheee! eti sitaki mwanaume! kwa hiyo we ni nani? wanadamu bwana! mi nafikiri wanyama wamekuwa na nidhamu, akili na utashi kuliko binadamu huyo! hata tukimpeleka akaishi na wanyama, hawata mpenda kbs. maana atawapelekea ushenzi alionao yeye.
anajichoresha tu.kuokoka gani huko?kama mwenyewe anavyosema ameokoka,mpe mistari ya biblia.tena jaribu kuwa mkali nae.nina amini kama mtu anathubutu kukuomba wewe,basi hautokuwa wa kwanza,na mwengine ataombwa tu.nyege gani hizo?na uokovu gani huo?
dada anataka ukamegue tundi lol...