LebronWade
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,615
- 1,504
Kwenye taarifa ya habari TBC1 leo 23/11/2011 saa mbili usiku,kuna haka kachalii kanaitwa sijui Chifu Msopa kutoka sijui chama cha wapenda amani tanzania (if that is).
Madai yake eti wanaiomba serikali isiruhusu maandamano yaliyopangwa na asasi zisizo za kiserikali kupinga kupitishwa kwa mswada feki wa mchakato wa katiba mpya eti utavuruga amani ya nchi,kwa madai yake eti wao wanapenda saaana amani.
Huyu chalii anavoongea povu linamtoka na utajua katumwa tu na anaongea kama kasuku tu.Alikua na mwenzake nae hamnazo anatingisha kichwa tu kama zuzu.Hivi vichalii vimetoka wapi?At least wasifu wao tu,nani kawatuma?Aaaaagh.
Madai yake eti wanaiomba serikali isiruhusu maandamano yaliyopangwa na asasi zisizo za kiserikali kupinga kupitishwa kwa mswada feki wa mchakato wa katiba mpya eti utavuruga amani ya nchi,kwa madai yake eti wao wanapenda saaana amani.
Huyu chalii anavoongea povu linamtoka na utajua katumwa tu na anaongea kama kasuku tu.Alikua na mwenzake nae hamnazo anatingisha kichwa tu kama zuzu.Hivi vichalii vimetoka wapi?At least wasifu wao tu,nani kawatuma?Aaaaagh.