Huyu binti simuelewi!!

Huyo kakubali bwana,angekuwa hataki angekwambia tu.au na wewe huwa hujijui kama unataka au hutaki.
 
wakaka wa JF wenye uzoefu mko wapi,mje mmwage maeksipiriensi yenu kwa huyu kinda lol,kny mapenzi wanawake huwa tunategea wanaume ndio wainiate sex,sasa kama mkaka hajui la kufanya ndio mnabaki kama hivi kuangaliana tu,,,,:biggrin1:
 
Nimetokea kumpenda msichana fulani ambaye kanivutia sana.nikamtongoza akakubali kuwa mpenzi wangu.sasa tatizo nalipata hapa,kila akija getto tunapiga story kama kawaida tunachezeana bila nominenga. lakini ikifika wakati wa ku do nikamuomba tu do hakubali wala hakatai yaani hanijibu ananikodolea macho tu.hapo ndo nashindwa kumuelewa.kukaa kimya ndo amekubali au amekataa?nisaidieni jamani.nampenda sana so sitaki kumuudhi.

Inaelekea umekanyagwa na ng'ombe wewe!
 
Dah! kazi kweli kweli...umri wako unaweza kuwa kikwazo. unahindwa hata kusoma alama za nyakati? ishara za no or yes ziko mingi...anakuruhusu unamnyegesha sasa kukupa uke si ni tayari.. huenda pia umri wa huyo GF wako bado ni mchanga sana kwenye dunia ya mapenzi. huenda hata hicho unachomfanyia hakiimuingii wala hakimpi hisia na mashamu shamu ya kungonoka. angalia usije pewa kesi ya kubaka kijana. watch out. soma alama za nyakati vizuri kijana. inaonekana wote wawili ni wageni kwenye hayo mambo ya mahusiano ya kijinsia
 
Back
Top Bottom