Huyu kijana mwaka Jana alifanya vizuri na ngoma Kali alizokuwa akitoa mpaka ikafika kushindanishwa na diamond lkn mwaka huu nimesikia ametoa ngoma tatu lkn zote zimefanya vibaya azivumi mtaani kabisa tofauti na mwanzo wapi huyu kijana anakwama?
Achana na Diamond ndugu
Jamaa anajielewa sanaaDomo kashindikana.
Walianza darassa
Mara mavoko
Blue kamchokoa wee mwisho hakuna lolote.
Kaja ommy dimpozi kamchokoa chokoa apate kiki wapi.
Huyu mwingine kabaki tu kunung'unika radion kuwa jamaa ananunua viewers.
Domo anawahenyesha kwelikweli , wamwache tu jamaaDomo kashindikana.
Walianza darassa
Mara mavoko
Blue kamchokoa wee mwisho hakuna lolote.
Kaja ommy dimpozi kamchokoa chokoa apate kiki wapi.
Huyu mwingine kabaki tu kunung'unika radion kuwa jamaa ananunua viewers.
Kiba fundi 13+ kwenye industry na bado anamjambisha mdomoKila anaye shindanishwa na domo huwa habaki salama.
Mwangalie darassa.
Angalia namba 7 hapo ww acha kujitekenya huyo ndo MUME WA WCB.Domo kashindikana.
Walianza darassa
Mara mavoko
Blue kamchokoa wee mwisho hakuna lolote.
Kaja ommy dimpozi kamchokoa chokoa apate kiki wapi.
Huyu mwingine kabaki tu kunung'unika radion kuwa jamaa ananunua viewers.
Mume yupo namba 7!Angalia namba 7 hapo ww acha kujitekenya huyo ndo MUME WA WCB.View attachment 1144305
Mume yupo namba 7!
We jamaa akili huna Sasa hapo anawakimbiza au anakimbizwa?yaani unafurahia ngoma ya kiba Tena ya zamani kushika no7 wakati ya mwanaume inashika no1Huyo mdo mume wao anawakimbiza na nyimbo ya 2014 huko hahahaaaa
Nataka ujue tofauti ya ALI na huyo mnaetaka kumpa u Mungu ntu wa hii industry bwege we..kuna kunguni mwenzio kaandika kiba hata kutunga vitu vinavyoeleweka hawez nkamuwekea hilo bandiko...nyimbo zenu bigijii bro dk mbili hamna kituWe jamaa akili huna Sasa hapo anawakimbiza au anakimbizwa?yaani unafurahia ngoma ya kiba Tena ya zamani kushika no7 wakati ya mwanaume inashika no1