Kwa hiyo Gwakisa ndiye Tuntemeke?What's wrong Gwakisa?
Nimestuka sana kusoma haya maandishi kutoka kwa mtu makini kama wewe!!!
Kwa hiyo Gwakisa ndiye Tuntemeke?What's wrong Gwakisa?
Nimestuka sana kusoma haya maandishi kutoka kwa mtu makini kama wewe!!!
Unauliza Choo cha stendi kinanuka nini?Kwa hiyo Gwakisa ndiye Tuntemeke?
Tufafanulie ni nani huyu mtu TUNTEMEKE??
Kwa hiyo Gwakisa ndiye Tuntemeke?
kumbe chadema ishu sio maendeleo ya nchi bali kujengana na kubomoana! kwa hiyo Zito pamoja na mambo yote aliyoyafaya kwa taifa hili chadema wanatakiwa wambomoe sasa! ok!kumbe hiyo ndio chadema.nimeelewa vizuri sasa!
Tufafanulie ni nani huyu mtu TUNTEMEKE??
nani ana ushahidi kwba huyu jamaa mnafiki?mimi ninayejua mnafiki slaa.kwa hiyo kama amefanya mema akaanza unafiki na usaliti aachwe
Naona chadema mnaweweseka sana ,
mwaka huu mpaka uishe mtakuwa mmefukuza kila mtu hadi bendera yeu mtaifukuza kwa saababu kila siku mnaota mmehujumiwa.
Mie nadhani mngetilia maanani sera za chama badala ya kutimuana kama kuku,
Leo hii hamjashika serikali vumbi linatimka huko vijiweni , jee mkiingia ikulu na kuwa na uwezo wa kumiliki majeshi itakuwaje.? si mtakuwa mnatumia bunduki kuulia mbu nyiyi?
Dawa kuchanana tu Wewe umetumwa na Mbowe au?
Toka hapa na uzushi wako,hakuna cha uzalendo wala nini ni walewale mnaitaka kumchafua Zitto na tutamlinda mpaka dakika ya mwisho,akiondoka na sie tunaondoka tumechoka na uzushi na ujinga wenu
Huu uzi unashiria mpasuko mkuu kwa chama changu chadema 2015 tutafika kweli? Vijana wanataka mabadiliko ila sio wavumilivu ni rahisi kununuliwa na kura yangu sitompa kijana yeyote najifunza mengi hapa
Hakuna mahali popote duniani ambako dagaa mchele wamewahi kupindua meli , bali meli yaweza kupinduliwa na Nyangumi au miamba mikubwai .
CHADEMA imeanzishwa mwaka 1992,mwaka huo Zitto alikuwa anatoka makamasi na Mbowe alikuwa kati ya waasisi,how come unatutajia mtu tuliyeanza kumjua mwaka 2007 baada ya kutuhumiwa kutembea na Amina Chifupa?(r.i.p),..aliondoka Kaborou itakuwa yeye?ZITTO ni mtu smart na makini kwa wanaojua historia yake.
Mkimfukuza, huo ndio utakuwa mwisho wa CHADEMA.
--- Why CDM is not kicking out this guy..!!??
--- He is not loyal to cdm & hypocrite too....
--- He seems to act like President....
--- He pretends to be very intelligent....
--- In general ANAPENDA SIFA ZA HOVYO AS WELL HE CAN BE BRIBED EASILY....
-- he is CDM cancer ... get rid of him ASAP.. !!