Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Kuna tuhuma kwamba kuna watu humu JF huwa wana tabia ya "kujipigia" Pasi. Eti watoa tuhuma wanadai mtu anaweza kuanzisha thread kwa ID ya "Mkongojo" kisha ana logg Off na kurudi na ID nyingine ya "Bakora" na kuisapoti thread, halafu huyo ana Logg Off na kuibuka na ID nyingine ya "Mkwaju" kuja kuchangia na kuwazodoa wote wanaompinga, kabla ya kufunga kazi kwa ID ya "Fimbo" kwa kuelezea kwanini "mazuzu" hawamuelewi "Mkongojo".Na mwishoooni anarudi tena na ID ya "Mkongojo" kuja kuwashukuru "Bakora","Mkwaju" na "Fimbo" eti kwa kumuelewa!!
Wewe umeshawahi kujipigia PASI?
Wewe umeshawahi kujipigia PASI?