Masanja Maguzu
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 547
- 396
Kuna watu hawamtakii mema maxence mwishowe atawachokeniKahongwa na nani?,dhibitisha..., Halafu hizi habari za kuwa mnasikia vijiweni au JF mnaamini zinawashusha hadhi Sana.
Kuna watu hawamtakii mema maxence mwishowe atawachokeniKahongwa na nani?,dhibitisha..., Halafu hizi habari za kuwa mnasikia vijiweni au JF mnaamini zinawashusha hadhi Sana.
Mkuu mimi sio yule unayedhania ndiye mi sijulikani.
Jmc06 Ina maana kubwa wala si Jerry Muro, ukitaka njoo pm nikudhibitishie. Anyway bado kinachonishangaza ni GENTAMYCINE kuja na CHEAP thread kama hii.Nahisi account yako imevamiwa.Hakuna LOGIC yoyote kwenye hii thread, haiendani na hadhi yako JF, umeanza kuwa Kama wapiga ramli wa 24/7 akina Karatasi ya Mshahara & Co LTD .Wilaya yako ya Arumeru unayoingoza sasa inaendeleaje lakini? Ila siku hizi umekuwa mpole sana huko wakati mwanzo ulianza na ' moto bati ' kabisa. Vipi Wameru wamekushikisha adabu mapema yote hii au unajipanga vizuri ili sasa umuondoe Mrisho Gambo hapo Mkoani?
Hapa sitaki hadhi mkuu labda wewe unataka.
Nasema ninachoona kinafaa kukisema, wewe ana akili yako endelea kuchambua na uchukue kinachokufaa kile kisichokufaa achana nacho.
Jmc06 Ina maana kubwa wala si Jerry Muro, ukitaka njoo pm nikudhibitishie. Anyway bado kinachonishangaza ni GENTAMYCINE kuja na CHEAP thread kama hii.Nahisi account yako imevamiwa.Hakuna LOGIC yoyote kwenye hii thread, haiendani na hadhi yako JF, umeanza kuwa Kama wapiga ramli wa 24/7 akina Karatasi ya Mshahara & Co LTD .
Matusi yako si kwa awamu hii. Unakuwa kama musiba.Siko JamiiForums kutoa maelekezo na ufafanuzi kwa Wapumbavu / Mapopoma. Nimemaliza!
Basi potezea, endelea kupiga ramli zako.Naona imenichukua muda mrefu ku debate pasipo umuhimu wowote.Ila hii ni mojawapo ya THREAD za kitoto ambazo zinajaza servers za JF bila sababu.Unaweza ukanithibitishia ni wapi katika ' Uzi ' huu nimekutaja Wewe ni Jerry Muro? Kwanza bahati mbaya katika Kumbukumbu yangu ya ' Ubongoni ' sina jina hilo la Jerry Muro ninalolifahamu. Kwani huyo Jerry Muro ni nani Mkuu? Na anaishi wapi labda? Ana umuhimu gani ndani ya ardhi hii ya Tanzania?
Na kweli sio lazima kufungua kila thead za jf ....jamaaa anasoma kila comment na anataka kuielewaUnazani niliyeandika ni kipofu?
Kama hujaelewa nilichokiandika, rudia kukisoma tena ili ukielewe.
Pia sio lazima uelewe, soma yale unayoyaelewa
Huyu jamaa nahisi account yake anaitumia mtu mwingine, kwanza amekuwa mtu wa kutukana ovyo ovyo,halafu anaongea vitu visivyokua na proof Wala logic yoyote.Matusi yako si kwa awamu hii. Unakuwa kama musiba.
Mwifwa huogopi ' Kubishana ' na Mheshimiwa? Unaijua Klabu Kongwe ya Yanga SC? Unamjua aliyewabatiza lile jina la Wakimataifa na aliyewabatiza Simba SC jina la Wamatopeni?
Huwa nawashangaa sana wanaomuamini huyu mtu.Asilimia kubwa ya wanaoozea jela ni Masikini.
Cha ajabu tuna Baba anayejitapa, yeye ni kiongozi wa Wanyonge. Bila shaka masikini sio wanyonge
Nilidhani utasema wezi wa njiwa, kuku, mbao mbadala yake unawataja matajiri na kuchomekea mnyonge mmoja.Nimeupenda sana kwakweli huu utaratibu na kama kuna Mtu aliyemshauri Mkemia awe nao au auanzishe nampa sana Kongole / Pongezi na naomba asiuache au usiwe wa Kiubaguzi na ukawa ni ' Maalum ' tu kwa Wahindi au Waarabu bali naomba uwe unawahusu hata Waafrika wenzangu.
Nawaomba Ndugu za hawa Wafuatao nao waombe ' audience ' na Mkemia ili mambo yao nao yanyooke na waweze Kufikiriwa kuachiwa na warudi Uraiani....
1. James Rugemalira
2. Harbinder Seth
3. Jamal Malinzi
4. Evans Aveva
5. Godfrey Nyange
6. Amber Rutty
7. Harry Kitilya
Nawasilisha.
Basi potezea, endelea kupiga ramli zako.Naona imenichukua muda mrefu ku debate pasipo umuhimu wowote.Ila hii ni mojawapo ya THREAD za kitoto ambazo zinajaza servers za JF bila sababu.
kumbe una maanisha mkemia wa maganda ya nanihii ....Ukiwa na Ndugu yako aliyekamatwa na ana Kesi nzito basi wahi tu kuomba kuonana na ' Mkemia ' ili yamalizwe kimya kimya.
mckemia.mkuu wa serikaliAaaa kumbe mkemia ni yule mkolomije
Mzee nimeamini unajua kusoma CodeNi ' Mhalifu ' na siyo ' Mharifu ' Mkuu. Natumai hivi sasa umeshaizoea Wilaya yako ' Korofi ' unayoiongoza ya Arumeru na Wameru nao wamekuzoea pia hivyo mnaenda sawa.
anawanyonge wake ujue....Asilimia kubwa ya wanaoozea jela ni Masikini.
Cha ajabu tuna Baba anayejitapa, yeye ni kiongozi wa Wanyonge. Bila shaka masikini sio wanyonge