Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,594
Sio malekebsho ni Marekebisho.Saw nashukur mkuu kwa malekebsho
Sio malekebsho ni Marekebisho.Saw nashukur mkuu kwa malekebsho
Sio ma jeneous ni geniousWanachonishangazaga watanzania Kila nada inayoletwa wanachangia, kwa hiyo watz wote ni ma jeneous. Mtu hata neno Forex ndio analiona kwa mara ya kwanza ila anatililika ni hatari.
*****Sio malekebsho ni Marekebisho.
Wanachonishangazaga watanzania Kila nada inayoletwa wanachangia, kwa hiyo watz wote ni ma jeneous. Mtu hata neno Forex ndio analiona kwa mara ya kwanza ila anatililika ni hatari.
Iyo pesa nikopeshe Mimi mkuuHabari zenu wataalamu, naomba nipewe elimu kuhusu huu mchezo wa MTFE maana nahisi huenda nikiweka visenti vyangu nitapigwa.
Mtu aliyenishawishi ni jamaa yangu wa karibu na akanishawishi kuwa ni biashara mtandao ya kununua dola online kisha unaziuza. Mfano ukiwekeza Tsh. Milioni 1.3 unapata faida kwa siku Tsh. 15,000 - 25,000.
Pesa nazipenda sana ila pia kupoteza pesa zangu ndio jambo nisilotaka kwa sasa.
Naomba wataalamu wenye fununu na hii kitu wanisaidie mtiririko nijue mbichi na mbivu.
Watanzania lazima watalia sanaNi suala la muda tu kabla kilio kusikika……!
Forex is only for smart peoples.. very bright!, Intelligent peoples...Habari zenu wataalamu, naomba nipewe elimu kuhusu huu mchezo wa MTFE maana nahisi huenda nikiweka visenti vyangu nitapigwa.
Mtu aliyenishawishi ni jamaa yangu wa karibu na akanishawishi kuwa ni biashara mtandao ya kununua dola online kisha unaziuza. Mfano ukiwekeza Tsh. Milioni 1.3 unapata faida kwa siku Tsh. 15,000 - 25,000.
Pesa nazipenda sana ila pia kupoteza pesa zangu ndio jambo nisilotaka kwa sasa.
Naomba wataalamu wenye fununu na hii kitu wanisaidie mtiririko nijue mbichi na mbivu.
Watu wanaongelea Mtfe brotherIna miaka 18 sema Africa ndio hivyo ila ni ya kitambo sana View attachment 2713895
Scammer ni wajanja wanaiba majina ya kampuni nyingine ,na kufanya rebranding ogopa sana hakuna pesa za bure.Ina miaka 18 sema Africa ndio hivyo ila ni ya kitambo sana View attachment 2713895
Hatimaye kilio kimesikika.Ni suala la muda tu kabla kilio kusikika……!