Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Kuna mtindo umeibuka kwa shule za binafsi kuwalazimisha watoto wa shule kuchangia ujenzi wa hostel za shule (mfano St. Anthony), siyo hilo tu bali wanafunzi pia hutakiwa kulipa gharama za ukarabati wa majengo mbali ya kuwa karo katika shule hizi ni za juu sana.
Ninatoa wito kwa wizara ya elimu kuharakisho mwongozo wa ada na michango kwenye shule binafsi vinginevyo wananchi tutaendelea kunyonywa.
Ninatoa wito kwa wizara ya elimu kuharakisho mwongozo wa ada na michango kwenye shule binafsi vinginevyo wananchi tutaendelea kunyonywa.