Huu ni ulimbukeni wa kiwango cha juu sana. Tangu lini mchezaji akatambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi?

Mwishokambi

JF-Expert Member
Nov 23, 2020
303
1,158
Soka la Bongo bwana, eti mchezaji katambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi, tena tunaambiwa alicheza Newcastle, mbona Saido Ntibazonkiza alicheza Ulaya, kipi cha maana alichofanya, tuache sanaa, huyo Bigirimana kama mtu kweli ataonekana dimbani, uwe fundi wa mpira ulaya halafu uje Bongo, kweli wanadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa.

Utopolo mambo ya kutambulisha mchezaji kwenye mikutano ni mambo ya kishamba kabisa.
 
Soka la bongo bwana, eti mchezaji katambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi, tena tunaambiwa alicheza Newcastle, mbona Saido Ntibazonkiza alicheza ulaya, kipi cha maana alichofanya, tuache sanaa, huyo Bigirimana kama mtu kweli ataonekana dimbani, uwe fundi wa mpira ulaya halafu uje bongo, kweli wanadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa.

Utopolo mambo ya kutambulisha mchezaji kwenye mikutano ni mambo ya kishamba kabisa.
Aisee
 
Soka la bongo bwana, eti mchezaji katambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi, tena tunaambiwa alicheza Newcastle, mbona Saido Ntibazonkiza alicheza ulaya, kipi cha maana alichofanya, tuache sanaa, huyo Bigirimana kama mtu kweli ataonekana dimbani, uwe fundi wa mpira ulaya halafu uje bongo, kweli wanadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa.

Utopolo mambo ya kutambulisha mchezaji kwenye mikutano ni mambo ya kishamba kabisa.
Unateseka ukiwa wapi?

Kuna kosa lipi kutanbulisha mchezaji hata kwenye Maulid?
 
Soka la bongo bwana, eti mchezaji katambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi, tena tunaambiwa alicheza Newcastle, mbona Saido Ntibazonkiza alicheza ulaya, kipi cha maana alichofanya, tuache sanaa, huyo Bigirimana kama mtu kweli ataonekana dimbani, uwe fundi wa mpira ulaya halafu uje bongo, kweli wanadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa.

Utopolo mambo ya kutambulisha mchezaji kwenye mikutano ni mambo ya kishamba kabisa.
Alex Song Yuko wapi saiz na wakat kacheza EPL,la Liga,ligue one
 
Yuko kwa mkopo west ham
Screenshot_20220709-224505.jpg
 
Soka la bongo bwana, eti mchezaji katambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi, tena tunaambiwa alicheza Newcastle, mbona Saido Ntibazonkiza alicheza ulaya, kipi cha maana alichofanya, tuache sanaa, huyo Bigirimana kama mtu kweli ataonekana dimbani, uwe fundi wa mpira ulaya halafu uje bongo, kweli wanadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa.

Utopolo mambo ya kutambulisha mchezaji kwenye mikutano ni mambo ya kishamba kabisa.
Wewe mkeo au mmeo ulimtambulisha chooni?
 
Soka la bongo bwana, eti mchezaji katambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi, tena tunaambiwa alicheza Newcastle, mbona Saido Ntibazonkiza alicheza ulaya, kipi cha maana alichofanya, tuache sanaa, huyo Bigirimana kama mtu kweli ataonekana dimbani, uwe fundi wa mpira ulaya halafu uje bongo, kweli wanadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa.

Utopolo mambo ya kutambulisha mchezaji kwenye mikutano ni mambo ya kishamba kabisa.

Vilabu vyetu bado hawajajua branding strategy.
Brading strategy ni mkakati wa kuifaharisha(fahari) bidhaa yako.

Kwa hiyo vilabu vina bidha(product) kama vile jezi, mchezaji na jina la kilabu.

Vinatakiwa kuzipromoti bidha zao kibiasha zaidi na kuziongezea thamani, kama vile kuziwekea siku maalumu kwa ajili ya utambulisho.

Naona walau simba anajitahidi kufanya hivo kwa ajili ya kuweka attention mashabiki na wadau wa michezo.
Naomba sana izi vilabu waajiri watu special wanaojua branding ilikusudi kuziongezea thamani vilabu.
 
Back
Top Bottom