wana jf wenzangu hebu tujuzane labda mimi nina kaujinga kanastaili kuondolewa ntauliza kutumia mfano il mnielewe'mf,mimi nafanya kazi kwenye kampuni nikapewa target kwamba kwa mwezi niingizie kampun milion 3 afu wenyewe watanilipa laki 4 nikafaulu kufanya hivyo wakanipa mshahara wangu alafu wakaniongezea target had mil10 nikafikisha lakini wakanipa ile ile laki 4 je huu sio unyonyaji? hiki kitu ni haki na kama sio nikashtaki wapi??naombeni mawazo na msaada wenu